Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
Ha ha ha ha haaaa..hili listedi nimelipenda sana.te te te te hao wanaojiita wakongwe mara wanaweka thread za kizungu utafikiri wametusomesha bana...makapuku na kizungu wapi na wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha haaaa..hili listedi nimelipenda sana.te te te te hao wanaojiita wakongwe mara wanaweka thread za kizungu utafikiri wametusomesha bana...makapuku na kizungu wapi na wapi
Na bado mkuu.. Na hivi warembo wanazidi ongezeka.. Comments zitazidi kwa kasi as wakuu watakua wana rusha makombora liveMoja kati ya post yenye comments nyingi ni "wazee wenzangu wa kuweka mzigo /kubet" ni post ambayo watu wanajadili mechi za kila siku. Ina Miaka mawili na nusu na ina 28k comments (28000/365 x 2.5 ) =wastani wa comments 30 kwa siku. Hii ya makapuku ina siku 3 comments karibu 3k. Unaweza kupata picha jinsi movement hii inavyotikisa.
Karibu ktk ulimwengu wetu wa pamoja. We are people. Au wewe sio kapukuHa ha....your selfu......jimwageee kwa kapuku wenzako
Acha tu,sometimes natamani sana kuwa single.
Tulikumisss brazaaa.... Habari za majukumuuuNilikuwa busy na majukumu kidogo, ila nishatulia kiasi now
Pole sana mkuu,tunatambua harakati zako.Hata mie niliimiss familia yangu ya makapuku, sema majukumu yaliingiliana
Usijali mkuu.. Kua na amani mi bado nipo nipoMmmmh sumbai umeona hiyo [emoji8]
Acha tuu....kaniambia SAA tatu mwisho kukaa kapuku forum[emoji3] [emoji3] [emoji3] Mkuu sio wewe tu,mimi jana nimetoka kuomba msamaha.
Sometimes naona kama nakosa uhuru.Haahaaa[emoji127] [emoji127] [emoji127] [emoji127] [emoji127] [emoji127] [emoji127] [emoji126] [emoji149] [emoji127] [emoji127] [emoji127] [emoji127] [emoji127] [emoji159] hilo ni chaguo lakoo×2
HakikaHuu uzi umeshindikana...
Hahahahaaa watu na nyota zao... Uiiii...Kitu cha smin.......f
Dah,iinabidi uniPM namba yake nimuombe akuruhusuAcha tuu....kaniambia SAA tatu mwisho kukaa kapuku forum
MmmmhUsijali mkuu.. Kua na amani mi bado nipo nipo
Huyo Huyo anajifanya kama haijui kapuku forum.....
Nyota ya samaki [emoji227] [emoji226] [emoji225]Hahahahaaa watu na nyota zao... Uiiii...
Mbona anakuja mara moja moja humuHuyo Huyo anajifanya kama haijui kapuku forum.....
Sana tu,haukamatikiHuu uzi umeshindikana...