anadaiwa kodi ya nyumba sasa unavomwambia ajiskie yupo nyumbani atatoroka sasa ivi [emoji5] [emoji4]
Kabisa.Ahaaaa Haaaa....wakongwe Vila kapuku hawana lao....
Angalia usije vunja ndoa mkuu[emoji13] [emoji13][emoji3] [emoji3] [emoji3] Mkuu sio wewe tu,mimi jana nimetoka kuomba msamaha.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Aisee we jamaa una roho mbaya sana,unataka huyu mtoto aanze tabia mbaya.!!sawa mkuu katume kwa pm kupitia kwa Jimena tunaishi naye
Asante[emoji120]Mrembo karibu
Ha ha ha, ngoja nicheke kidogoMkuu hakikisha umewalipa porters wote
Mpendwa unatumia kinywaji gani....Utakapopakuta unaendelea hapohapo...ila usichelewe sana
Uoni kama unawapa takukuru mwanya wa kuku chunguzaMkuu huyo ni mrembo kweli.
Acha tu,sometimes natamani sana kuwa single.Angalia usije vunja ndoa mkuu[emoji13] [emoji13]
Hahaaaanadaiwa kodi ya nyumba sasa unavomwambia ajiskie yupo nyumbani atatoroka sasa ivi [emoji5] [emoji4]
Ha ha....your selfu......jimwageee kwa kapuku wenzakoKapuku himself
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Uoni kama unawapa takukuru mwanya wa kuku chunguza
Mpendwa umepika kweli Leo?
Mkuu makapuku wanatisha.Moja kati ya post yenye comments nyingi ni "wazee wenzangu wa kuweka mzigo /kubet" ni post ambayo watu wanajadili mechi za kila siku. Ina Miaka mawili na nusu na ina 28k comments (28000/365 x 2.5 ) =wastani wa comments 30 kwa siku. Hii ya makapuku ina siku 3 comments karibu 3k. Unaweza kupata picha jinsi movement hii inavyotikisa.
Kitu cha smin.......fMpendwa unatumia kinywaji gani....
Hata mie niliimiss familia yangu ya makapuku, sema majukumu yaliingilianaMkuu! Leo ulipotelea wapi?
Nilikumiss sana.