shaban lee
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 310
- 924
Kama mm mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha nime toka kidogo kurudi najiona mgeniii..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mm mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha nime toka kidogo kurudi najiona mgeniii..
Mwachee tuu ngoja yambadilikie mambo alafu aaaje na thread....Anaanza kukufuru eee....ebu tumpe adhabu ya like za kutosha asidirudie tena
PoleniKama mm mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kinanikera hiki kiujumbe[emoji35] [emoji35]You must wait at least 55 seconds before performing this action
Mkuu kuna zawadi maalum kwao kwaniTuwatunze saana haaawa warembo wachachee.....waliopo kuna wengine wengi saana wapo.
Ila bado hawajajisajili....
Big up warembo ambao ni member Wa kapuku
Usiponiona ujue nimeshafanywa kitoweo ujue...hawa jamaa hawaachi hata kucha na nywele eti.Huko siji njoo mwenyewe.
Kinazingua sana tu,inabidi tutumie nguvu ya makapuku mods wakitoeKinanikera hiki kiujumbe[emoji35] [emoji35]
I miss you mama samiyaOyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ha haaaHa haaa.... Huyu Th Name tumetoka nae mbali hatuwez mzimia taaa
Na nn mkuu[emoji15]Poleni
[emoji3] [emoji3] [emoji3] usinifanye nikurudie mkuuUsiponiona ujue nimeshafanywa kitoweo ujue...hawa jamaa hawaachi hata kucha na nywele eti.
mkuu zawadi yao nitakua mimi hapaa [emoji6]Mkuu kuna zawadi maalum kwao kwani
IM ni lazima mkuuNaomba hii iwe ni target yetu mpya makapuku.
1M
1M
1M
1M
1M
Mm nashikilia kitufe mpaka izo sec ziishe... Wanajichosha wao sio mm... Nipo kaziniKinanikera hiki kiujumbe[emoji35] [emoji35]
Mbina 200 mbali sana..mimi nahisi hata 60 hazifikiSasa watakoma kila wakipost watashangaa hazifiki coments 200
Ulipotea kidogoNa nn mkuu[emoji15]
Hii ndiyo raha ya kuwa kapuku