Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Mmekosa mambo mengi sana,kuna ndoa zimefungwa humu na pilau imeisha.Na nn mkuu[emoji15]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmekosa mambo mengi sana,kuna ndoa zimefungwa humu na pilau imeisha.Na nn mkuu[emoji15]
Ha Haaaa...... Kwani jf INA member wangapi? Au unataka na memba hewaaaNaomba hii iwe ni target yetu mpya makapuku.
1M
1M
1M
1M
1M
Kikaz zaidi....Mm nashikilia kitufe mpaka izo sec ziishe... Wanajichosha wao sio mm... Nipo kazini
Wapi tena😱😉Usiponiona ujue nimeshafanywa kitoweo ujue...hawa jamaa hawaachi hata kucha na nywele eti.
Hahahahaaaa... Aje nimebakisha ukokoMmekosa mambo mengi sana,kuna ndoa zimefungwa humu na pilau imeisha.
Nirudie tu mkuu..ujue makapuku ni sisters and brothers?[emoji3] [emoji3] [emoji3] usinifanye nikurudie mkuu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahahaaaa... Aje nimebakisha ukoko
Humu ukipitisha nusu saa unakuta page zipo zaid ya tano. kweli makapuku hawakamatikiKazana mkuu...[emoji125] [emoji125]
Nafasi hizi ni nadra sana... Sijui mwenye ili wazo alikuwaga wapiKikaz zaidi....
Umetisha mkuu[emoji122] [emoji122]
Kasi ya sredi imekuwa kubwa nikaachwa somewhere mbugani mkuuWapi tena😱😉
Yes bro....Hahaha unanikumbusha mbali sana.
Wapo pia GUESTS wengi sana...yaani hawajaregister lkn husoma tu posts pia kuna watu sana multiple IDHa Haaaa...... Kwani jf INA member wangapi? Au unataka na memba hewaaa
Oyeeeee.......TEAM MAKAPUKU OYEEEEE
Nusu saaa!!! Dk 5 tu hali teteHumu ukipitisha nusu saa unakuta page zipo zaid ya tano. kweli makapuku hawakamatiki
Kila jambo huja kwa wakati sahihi na muda muafaka kama huuNafasi hizi ni nadra sana... Sijui mwenye ili wazo alikuwaga wapi
Mkuu nakuja,subiri kwanza nitafute zana.Nirudie tu mkuu..ujue makapuku ni sisters and brothers?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] da hata kuni pm mkuuMmekosa mambo mengi sana,kuna ndoa zimefungwa humu na pilau imeisha.
Ilikuwa noma sana. Wapi BansenBurner hatari tupuYes bro....
Tangu enzi zilee za zile team za selebritee kuleee
Aaaaaa😀😀 kazana mkuuKasi ya sredi imekuwa kubwa nikaachwa somewhere mbugani mkuu
Mkuu tuliambiwa shemeji mkali,tukapotezea.[emoji15] [emoji15] [emoji15] da hata kuni pm mkuu