nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,678
hahahahahaaaaa hiyo itakuwa 'mbuzi kafia kwa muuza supu'ngoja niwe shemeji yake, atatia adabu
Acha tuu.....yani mi naona ntatumbuliwa na boss maaana hii pic ya ofisi kila SAA ni minotification ya kapuku.....Hamna kaka,si unajua mjini tena mambo mengi.
Yaani nimeondoka muda kidogo tu,mkafanya yenu
nimekukumbuka NahreneMi sio mbaya
kheeee????πππ³π΅hahahahaaaaaaaaa siwezi kuvumilia kukuona unarandaranda. Nina mpango wa kukuwekea mnyororo mguuni na alarm. Wakikugusa tu inanishitua.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] sasa unakoelekea sio kuzuri.Acha tuu.....yani mi naona ntatumbuliwa na boss maaana hii pic ya ofisi kila SAA ni minotification ya kapuku.....
And I can't miss kapuk forum
Wachangiaji elfu 50 na viewers watakuwa laki 1 unusu.duuuuh,mbona kasi ya thread hii ni ya kutisha sana,hadi kufikia june,kama you tube vile,wachangiaji wa uzi huu watafika elf50 aisee
basi aliwe tu maana hamna namnahahahahahaaaaa hiyo itakuwa 'mbuzi kafia kwa muuza supu'
Siyo vizuri inabidi tusubiriane.Lazima tuende haraka ili ujifunze kukimbia π
nimekukumbuka Nahrene
kheeee????πππ³π΅
May be peace with you sir!Mkuu asalam aleykum....
Wakongwe wamepoteana kabisa......................................
Uzi boea zaidi: Makapuku
Vinara wa Likes: Makapuku
Wakongwe + mafaza wa Jf wapo hoi.......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.........................................
Thanks. Maisha yana songa taratibuu....hapa. Vip kapuku mwenzanguMay be peace with you sir!
Maisha vipi?
mtoto kanifungia nikafungika Nakupenda nameless girl beibyHa haaa... Kumbe ndio maaana umekuwa mpole Siku hizi...daah vizuri bwana
Basi sawa, mie nakomaa mulemule.Ngoja nikachungulie, ila point ni kwamba Makapuku tunafanya vizuri
Salama kabisa Kapuku team, nipo kimya sana maana natembeza likes kimyakimya.Thanks. Maisha yana songa taratibuu....hapa. Vip kapuku mwenzangu
tatizo atakuwa ashakuwa kibudu thathabasi aliwe tu maana hamna namna