sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Mbona taratibuu brazataratibu kijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona taratibuu brazataratibu kijana
Mapema sana.....Aiseee kumemucha....
Ni poa sana mpendwaMambo.....mpendwa
Hebu kwanza lete CV yako nijue nakupa kazi ganidah wapi huko, nisaidie mkuu, niwe kapuku wa ukweli
taratibu kijanaMambo.....mpendwa
wengine shemeji zako alaa!!!!Mbona taratibuu braza
HaaahaaaaaaPoa,mkuu nyie jengeni Nchi mimi nitakuja kupaka rangi.
Ha haa sasa mie ndio afisa msajili...taratibu kijana
wengine shemeji zako alaa!!!!
Kweli mkuu,by the way ni youngbloodKomaa tu hapa hapa mpaka utaonekana tayari Young blood ameonekana we utashindwaje??? Go go goooo bro
kutoka wapi mkuuNimerudi tena
wengine hawatakiwi kusajiliwaHa haa sasa mie ndio afisa msajili...
Waje tuwasajili......kuepusha ajali
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ,waache tu wakushangae hawajui raha unazopata ukiwa na makapuku.Haaahaaaaaa
Nimecheka kwa nguvu had niliokaa nao wananishangaa
Mmmhhh
Kapuku family inanifanya niwe busy nayo kuliko kazi
Uwiiiiii..nisije nikawa jipuu
Ha haa kuwa makini utatenguliwaa...uteuziHaaahaaaaaa
Nimecheka kwa nguvu had niliokaa nao wananishangaa
Mmmhhh
Kapuku family inanifanya niwe busy nayo kuliko kazi
Uwiiiiii..nisije nikawa jipuu
Si unajua bongo hii,unatoka nyumbani kama mbwa hujui unakoenda.kutoka wapi mkuu
heshima kwenu wakuu ninapata LIKES za kutosha
Hao watasajiliwa pm....wengine hawatakiwi kusajiliwa