ibra87
R I P
- Jul 22, 2015
- 5,614
- 5,351
mvua ikianza tu kisha ukiona kimya juu nishafungiwaSawa mkuu nimeshaifanyia usajili hii couple....
Ila shemej asikuteke saana. Tunataka ifike 4k leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mvua ikianza tu kisha ukiona kimya juu nishafungiwaSawa mkuu nimeshaifanyia usajili hii couple....
Ila shemej asikuteke saana. Tunataka ifike 4k leo
beiby mi naona aibu kujibu ile .....too...mtoto kanifungia nikafungika Nakupenda nameless girl beiby
Niko poa ndugu yanguSalama, uko pouwaa lakini??
Na mimi nakomaa mpaka kieleweke leo, siwezi kukubali kuachwa kizembe namna hiyo.Ichukulie kama changamoto......napenda ile 20 ya juu tuikamate sisi wote, hivyo tupeane sapoti tu na hilo litawezekana kabisa
Njoo kwangu kuna kazi kibao.jamani makapuku wenzangu tusaidiane vibarua, mtaani pagumu
We nakujua speed yako kama ya kobe.Na mimi nakomaa mpaka kieleweke leo, siwezi kukubali kuachwa kizembe namna hiyo.
Tutalijadili hill kwa siku maalumu tutapanga ila week end ndo vizurijamani makapuku wenzangu tusaidiane vibarua, mtaani pagumu
Poa,mkuu nyie jengeni Nchi mimi nitakuja kupaka rangi.Niko poa ndugu yangu
Natekeleza majukumu ya kitaifa
Mambo.....mpendwaNiko poa ndugu yangu
Natekeleza majukumu ya kitaifa
Kumekucha mkuu ukizubaa imekula kwako.Aiseee kumemucha....
mimi nitakuja kuweka milango na madirishaPoa,mkuu nyie jengeni Nchi mimi nitakuja kupaka rangi.
dah wapi huko, nisaidie mkuu, niwe kapuku wa ukweliNjoo kwangu kuna kazi kibao.
Basi kama vipi ndo vile aisee nakuyaa.Kumekucha mkuu ukizubaa imekula kwako.
Hahahamimi nitakuja kuweka milango na madirisha
taratibu kijanaMambo.....mpendwa
Hata mie nashangaa....Komaa tu hapa hapa mpaka utaonekana tayari Young blood ameonekana we utashindwaje??? Go go goooo bro
Karibu mkuu,changamkia fursa.Basi kama vipi ndo vile aisee nakuyaa.