Makapuku Forum

.
[emoji599] JUST IN: Uongozi wa klabu ya Singida Fountain Gate, kupitia kwa Afisa habari Hussein Massanza umetangaza hakuna kiingilio katika mchezo wao dhidi ya Future FC ya nchini Misri [emoji1093] hatua ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika katika uwanja wa Azam Complex, Jumapili hii saa 10:00 jioni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…