😂 Mi sizururi bana nipo hapa hapa makapuku kwaajili ya mtu makini sana si ushamjua?Aaah wewe mwenyewe umeshindwa kutafuta mchumba wako unazurura tu kama kuku alopoteza vifaranga. Huyo wa kunitafutia mie unamtoa wapi? Wewe ndio uhame nyumbani, mama kasema tukunyime chakula.
Labda sio binti yangu, huyo humpati🤣🤣🤣😂 Mi sizururi bana nipo hapa hapa makapuku kwaajili ya mtu makini sana si ushamjua?
[emoji28][emoji28][emoji28]Good Morning kwa wapambanaji wote na wazalendo wote Obe Lee Mtu Chake Carasco Putin makaveli10 mshamba_hachekwi
Good morning kwa warembo wote mnaomiliki iphone na majumba yenu hapa dasalama Makiwendo Shunie tunawapenda sana maboss lady wetu.
Good morning kwa makapuku msio na hela mnaotumia itel na alcatel kuswampia humu ndani, mnaoishi kwenye nyumba ya kupanga na unadaiwa kodi Atoto amkaaaaaa kumekuchaaaaaaa unalala una raha gani? [emoji23]
ChangamotoWala sijali [emoji1787][emoji1787] kikubwa yupo mzima basiiii hilo ndio la muhimu na uzee huu tuanze kuliliana na mawivu hapana maisha ni matamu sanaa
Weeh hizo mambo na mimi tofauti za kuandikiana kwenye thread nilishaandikiwa thread sana na lee wangu miaka mitano iliyopita [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hizo mambo tumewaachia vijana[emoji23] Kuna jukwaa nimekutag kimya kimya watu wasione nimekuandikia barua yako. Shunie usiache kuswampia huko [emoji847]
Mwambie mimi ni wa Lee atapata shida sanaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda sio binti yangu, huyo humpati[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weeeeh!! Kumbe na siredi mliandikiana!!Weeh hizo mambo na mimi tofauti za kuandikiana kwenye thread nilishaandikiwa thread sana na lee wangu miaka mitano iliyopita [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hizo mambo tumewaachia vijana
Hebu huko!Mwambie mimi ni wa Lee atapata shida sanaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na comments zako auntie zipoo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Weeeeh!! Kumbe na siredi mliandikiana!!
Hivi hajui kama mimi muhenga eenh mshangazi mwenye uzee wangu [emoji1787] me nataka mambo za kuandikiana threadHebu huko!
Aaaah itakuwa ulozi ulihusika🤣🤣🤣Na comments zako auntie zipoo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mshangazi kama mshangazi🤣🤣Hivi hajui kama mimi muhenga eenh mshangazi mwenye uzee wangu [emoji1787] me nataka mambo za kuandikiana thread
[emoji1787][emoji1787] tena ulitutakia kila la heri auntieAaaah itakuwa ulozi ulihusika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787] Na uzee huu attention ya nini mimiMshangazi kama mshangazi[emoji1787][emoji1787]
Hutaki attention wewe?
Mmmmh! Kulikuwa na mkono wa mtu🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787] tena ulitutakia kila la heri auntie
😂 Saivi ntakuwa nazungumza kwa maokoto. Ntumie namba ya wakala pm nikurushie bundle la week nzima Shunie cha upole.Weeh hizo mambo na mimi tofauti za kuandikiana kwenye thread nilishaandikiwa thread sana na lee wangu miaka mitano iliyopita [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hizo mambo tumewaachia vijana
.....uko na video tuoneMwanaume pekee mwenye mapenz ya kweli JF nimekuja