Makapuku Forum

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
[emoji23] Kuna jukwaa nimekutag kimya kimya watu wasione nimekuandikia barua yako. Shunie usiache kuswampia huko [emoji847]
Weeh hizo mambo na mimi tofauti za kuandikiana kwenye thread nilishaandikiwa thread sana na lee wangu miaka mitano iliyopita [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hizo mambo tumewaachia vijana
 
Weeh hizo mambo na mimi tofauti za kuandikiana kwenye thread nilishaandikiwa thread sana na lee wangu miaka mitano iliyopita [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hizo mambo tumewaachia vijana
😂 Saivi ntakuwa nazungumza kwa maokoto. Ntumie namba ya wakala pm nikurushie bundle la week nzima Shunie cha upole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…