Makapuku Forum

Makapuku Forum

Good Morning kwa wapambanaji wote na wazalendo wote Obe Lee Mtu Chake Carasco Putin makaveli10 mshamba_hachekwi

Good morning kwa warembo wote mnaomiliki iphone na majumba yenu hapa dasalama Makiwendo Shunie tunawapenda sana maboss lady wetu.

Good morning kwa makapuku msio na hela mnaotumia itel na alcatel kuswampia humu ndani, mnaoishi kwenye nyumba ya kupanga na unadaiwa kodi Atoto amkaaaaaa kumekuchaaaaaaa unalala una raha gani? [emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
[emoji23] Kuna jukwaa nimekutag kimya kimya watu wasione nimekuandikia barua yako. Shunie usiache kuswampia huko [emoji847]
Weeh hizo mambo na mimi tofauti za kuandikiana kwenye thread nilishaandikiwa thread sana na lee wangu miaka mitano iliyopita [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hizo mambo tumewaachia vijana
 
Weeh hizo mambo na mimi tofauti za kuandikiana kwenye thread nilishaandikiwa thread sana na lee wangu miaka mitano iliyopita [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hizo mambo tumewaachia vijana
😂 Saivi ntakuwa nazungumza kwa maokoto. Ntumie namba ya wakala pm nikurushie bundle la week nzima Shunie cha upole.
 
Back
Top Bottom