Mgao maana yake kugawa, imetokana na neno gawa, gawanya, yaani kila mtu apate hata hicho kidogo, huenda ikawa zamu zamu.
Mfano.
KUGAWA URODA.
Upungufu, imetokana na neno, pungua, yani kitu ambacho hakijafikia utimamu wake(kihisabatia tunaita kitu kizima), kama ukihitaji maji lita 1 ukapata ½ lita maana yake hapo ½ ni pungufu
Mfano.
Upungufu wa kinga za mwili.
Tutunge sentensi kutokana na maneno MGAO na upungufu.
UKIGAWA sana uroda, utapata UPUNGUFU wa kinga za mwili.
See you next time class, see you, when you see me.😂