Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakongwe, hali zenu ndugu zangu.

Obe juzi nimepita mwembe YANGA nikamkuta shabiki wa simba, nikaona ajabu la 7 la temeke.

Lee vipi mzee wa costant K!?

Makiwendo Nimekumiss mzee mwenzangu.

Shunie akee, unajua vile nakukubali.

Mtaalam mtu chake, nakusalim kaka
Na watu wengine wote niliowasahau kwa bahati mbaya
 
Wakongwe, hali zenu ndugu zangu.

Obe juzi nimepita mwembe YANGA nikamkuta shabiki wa simba, nikaona ajabu la 7 la temeke.

Lee vipi mzee wa costant K!?

Makiwendo Nimekumiss mzee mwenzangu.

Shunie akee, unajua vile nakukubali.

Mtaalam mtu chake, nakusalim kaka
Na watu wengine wote niliowasahau kwa bahati mbaya
Hahahaha,ashsante kwa salam,Mkuu
 
Wakongwe, hali zenu ndugu zangu.

Obe juzi nimepita mwembe YANGA nikamkuta shabiki wa simba, nikaona ajabu la 7 la temeke.

Lee vipi mzee wa costant K!?

Makiwendo Nimekumiss mzee mwenzangu.

Shunie akee, unajua vile nakukubali.

Mtaalam mtu chake, nakusalim kaka
Na watu wengine wote niliowasahau kwa bahati mbaya
Miss you pia Mzee mwenzangu....
 
Back
Top Bottom