Kaka yenu sio mtu yule alinipiga teke la tumbo mxxxxxieee muuaji yule sina ham nae nikamtukaanaaa, nikamfutilia mbali .. ila sasa hivi nammiss etiππ[emoji1787][emoji1787] my wiiii nimecheka sanaaa miss u too dear nani alikuficha lakini nimefurahi mnoo kukuona jamani
Hongera Auntie..Yaani auntie nilifungua browser ikakubali nililetewa ujumbe wa kuconfirm email ndio kuweka na kukubali sasa kuingia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilipumzika kwa muda..Shunie nakusalimu kwa jina la jamhuri.
Makiwendo nipo njiani nakuja kufuata hela yangu.
makaveli10 nakupenda sana.
Wengine muendelee kupumua.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilipumzika kwa muda..
Kumekuchaaa
Ila umetuamulia na hizi avatar khaah![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilipumzika kwa muda..
Kumekuchaaa
Raha niko nazo haujui.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unapumzika kwa raha gani uko nazo!! Mie nateseka kumbe mwenzangu unapumzika[emoji134][emoji134][emoji134]
Si hili uliipondea sana wewe?Ila umetuamulia na hizi avatar khaah!
Hii hata nisingejibu, jibu lake tayari unalo..Shunie nakusalimu kwa jina la jamhuri.
Makiwendo nipo njiani nakuja kufuata hela yangu.
makaveli10 nakupenda sana.
Wengine muendelee kupumua.
Nyumbani kwetu, usipopata raha nyumbani huenda hata mbinguni hutopafurahia.Hapa ndo tunafarijiana..π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Hahahaha,ashsante kwa salam,MkuuWakongwe, hali zenu ndugu zangu.
Obe juzi nimepita mwembe YANGA nikamkuta shabiki wa simba, nikaona ajabu la 7 la temeke.
Lee vipi mzee wa costant K!?
Makiwendo Nimekumiss mzee mwenzangu.
Shunie akee, unajua vile nakukubali.
Mtaalam mtu chake, nakusalim kaka
Na watu wengine wote niliowasahau kwa bahati mbaya
Hawa ndio wanatufanya tufanye ya ferouz mwisho wa siku unatongoza kwa mara ya pili.. ππ€£Huyo ndio nani tenaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana jf kila kukicha I'd mpya
Bila shaka huyu ni mtu chake.Hahahaha,ashsante kwa salam,Mkuu
Mkuu usitufanyie hivyo, nikajiuliza huyu tresor mandala nani, nikakumbuka ni ba mutu ba congo benyewe kabisa.Hahahaha,ashsante kwa salam,Mkuu
Hahahahaha,bora tutambuane tu, kupunguza keroMkuu usitufanyie hivyo, nikajiuliza huyu tresor mandala nani, nikakumbuka ni ba mutu ba congo benyewe kabisa.
ππ€£
Hahahahahaha,ondoa ShakaBila shaka huyu ni mtu chake.
Heri ninyi[emoji23]Hii hata nisingejibu, jibu lake tayari unalo..
Nakupenda pia kipenzi changu.
Kinga yangu ya mwili, nakupenda pasina kikomo kudadeki.
Miss you pia Mzee mwenzangu....Wakongwe, hali zenu ndugu zangu.
Obe juzi nimepita mwembe YANGA nikamkuta shabiki wa simba, nikaona ajabu la 7 la temeke.
Lee vipi mzee wa costant K!?
Makiwendo Nimekumiss mzee mwenzangu.
Shunie akee, unajua vile nakukubali.
Mtaalam mtu chake, nakusalim kaka
Na watu wengine wote niliowasahau kwa bahati mbaya
Aaah we hebu acha kutuchocha hapa!! Raha uzitoe wapi?Raha niko nazo haujui.....
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]