Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Itafika usijali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itafika usijali
Ningekuwa mjini leo ilitakiwa ule mbuzi mzima.
Sawa sawa Mkuu....Itafika usijali
Halafu wewe[emoji23][emoji23]Ningekuwa mjini leo ilitakiwa ule mbuzi mzima.
Nyieeeee [emoji847] Mungu azidi kukubariki Al WataniItafika usijali
Aririiiiiiiiiiii [emoji847]Ningekuwa mjini leo ilitakiwa ule mbuzi mzima.
Leo sherehekea birthday kwanza kesi baadaeHalafu wewe[emoji23][emoji23]
Una kesi kubwa sana ya kujibu.
Weeeeh mbona ghafla sana 😳😳😳😳Subiria auntie na we siku yako ifike muamala utakufikia [emoji1787] ila jiandae na yangu kwanza dec utume muamala
Hivi hamna namna mods wanaweza badili title ya uzi jamani 🙆🙆🙆
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hakuna visasi auntie jiandae na dec muamala usome dec ya shunie na maokotoWeeeeh mbona ghafla sana [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Mungu hapendi visasi auntie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Waligoma kabisaHivi hamna namna mods wanaweza badili title ya uzi jamani [emoji134][emoji134][emoji134]
Isogeze mpaka Dec 2026 basi khaaah![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hakuna visasi auntie jiandae na dec muamala usome dec ya shunie na maokoto
Ni huzuni kwakweli😭😭Waligoma kabisa
HahahahaaAsante kwa kuniita mratibu mkuu wa makapuku.🤣
Na mimi naungana na makapuku wote(japo mie sio kapuku), I wish madam Makiwendo mwaka mwingine wenye baraka zote, afya ya kutosha na mafanikio kama yote, azidi kuwa kabinti!!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Aririiiiiiiiiiii [emoji847]
Huyo Mpare sijui anakatiza mitaa gani sasa hivi...