🤣🤣🤣🤣🤣 napenda ugali na tambi.Una DNA za kisukuma Mkuu😅
Unaweza ukahama usukumani ila kuuacha usukuma ni kazi sanaa🤣🤣🤣🤣🤣 napenda ugali na tambi.
🤣🤣🤣Unaweza ukahama usukumani ila kuuacha usukuma ni kazi sanaa
Na aliyegundua wali na maharage utamuweka wapi Seli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Halafu kibaki kiporo na chai ya rangiAlieyegundua ugali dagaa moja kwa moja peponi semaa atakaaa nyuma ya aliyegundua chai ya rangi na kiporo cha wali[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]jokes kidogo
Daah mate yamenitoka halafu vyote viwe naziKiporo cha wali upi sasa? Wali maharage au wali kisamvu ?
Detox hizoHiyo hatari ya kutoa sumu kwa njia za asili ni ipi auntie?
Yaani nimecheka kumbe huwa wanakimbiaga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hao hata vita watakimbia hao.
Nilimaanisha hicho Mkuu ..Na aliyegundua wali na maharage utamuweka wapi Seli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Halafu kibaki kiporo na chai ya rangi
Mweeeeh!! Sasa nini salama kwenye hii dunia🙆🙆🙆Detox hizo
🤣🤣🤣🤣🤣Yaani nimecheka kumbe huwa wanakimbiaga [emoji1787]
Hiko kiwe na samaki wa kukaanga pembeni acha kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilimaanisha hicho Mkuu ..
Hicho kiporo cha wali kisamvu asee bado itabid siku ukipika usiku asubuhi niamkie kwako[emoji28][emoji28][emoji28]
Nitampitia na Mkuu Atoto asiyependa Ubwabwa
Auntie kila kitu unaambiwa kina matatizo tufanye hivyohivyo tu hakuna namnaMweeeeh!! Sasa nini salama kwenye hii dunia[emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji1787] Yaani nilivyosoma nilicheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unafikiri mchezo!!
Kheeh nitajaribu hiyo nitaleta mrejeshoHiko kiwe na samaki wa kukaanga pembeni acha kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahaha,na chai ya maziwaDaah mate yamenitoka halafu vyote viwe nazi
Wali maharage ,ni chakula cha taifa..sasa kuna sehemu wali maharage wanachanganya na sukari,😂😂 ,hii ilinishinda kbsNa aliyegundua wali na maharage utamuweka wapi Seli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Halafu kibaki kiporo na chai ya rangi
Angalau makaveli10 wangu ni salama 🤣Auntie kila kitu unaambiwa kina matatizo tufanye hivyohivyo tu hakuna namna
Waliona cha kufia nini? Haki tukivamiwa tujiandae kisaikolojia maana wajeda watatukimbia🤣🤣🤣🤣[emoji1787] Yaani nilivyosoma nilicheka sana
Anakudanganya, hata hainogi🤣🤣Kheeh nitajaribu hiyo nitaleta mrejesho
Salama japo sio KONDOMU 🤣😂Angalau makaveli10 wangu ni salama 🤣