Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Maroon ni nzuri mno...Maroon ni nzuri nilimuona nayo mtu. Nilikuwa na red ndogo yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maroon ni nzuri mno...Maroon ni nzuri nilimuona nayo mtu. Nilikuwa na red ndogo yake.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Najua hata basi..Kwanini dada wa makamo lakini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😊Ndiyo haiwezekani...
🤣🤣🤣🤣 si tulishakubaliana unachovuta uache au?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Najua hata basi..
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Sawa naacha.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] si tulishakubaliana unachovuta uache au?
Ipo siku utakutana naye [emoji1787][emoji1787]Sikutanagi naye hata, sijui ananyata[emoji1787][emoji1787]
Yaani dagaa na ugaliChakula changu pendwa[emoji24][emoji24]
Auntie hiyo red ndogo naiomba basiMaroon ni nzuri nilimuona nayo mtu. Nilikuwa na red ndogo yake.
Bora nimlambe makofi🤣Ipo siku utakutana naye [emoji1787][emoji1787]
Na mlenda au majani ya maboga 😋😋😋Yaani dagaa na ugali
Ndio maana nimesema "nilikuwa nayo" ilishabebwa na binti yangu🤣Auntie hiyo red ndogo naiomba basi
Binti yangu [emoji1787][emoji1787] ebu huyo mbibi mtoe kwa avatarNdio maana nimesema "nilikuwa nayo" ilishabebwa na binti yangu[emoji1787]
🤣🤣🤣🤣Binti yangu [emoji1787][emoji1787] ebu huyo mbibi mtoe kwa avatar