Karibu madameWow bado mumo?
Nakumbuka sana lengo la uzi huu kuanzishwa...[emoji847]
😂🤣 Husna atakuja kukukwida, shauri yako.Simkuwadiii maka akeee ila nimeona vile tabia zao zinaendana [emoji1787]
Hivi yuko wapiiii[emoji23][emoji1787] Husna atakuja kukukwida, shauri yako.
Tumuuloze braza ObeHivi yuko wapiiii
....duh, mfanano tu wa majina nadhani huyu Obe sio mimi ila naweza kusema Husna yupo kwa Shadrack K. Lwila baada ya mapumziko ya kipndi cha kwanza na mimi akama VAR nikaona hakuna faulo kipindi cha pili wakarudiana nikabaki mpenzi mtizamajiTumuuloze braza Obe
Hapo tutumie goal line technology tu....duh, mfanano tu wa majina nadhani huyu Obe sio mimi ila naweza kusema Husna yupo kwa Shadrack K. Lwila baada ya mapumziko ya kipndi cha kwanza na mimi akama VAR nikaona hakuna faulo kipindi cha pili wakarudiana nikabaki mpenzi mtizamaji
Happy birthday we mzee ishi sanaToka 9 December mpk 12 December 2023 nililazwa ...toka 13 December mpk 29 December nilikua nakimbizana na ma Dr na waaguzi ktk kuniweka fit nakurudi uraiani ...Nawashukuru sana ma Dr na wauguzi wote .Mungu awabariki
Happy birthday? Sijazaliwa mwezi huu shangazi, nashukuru ma Dr wa kairuki kwa kunipa tibaHappy birthday we mzee ishi sana
Kheee nikajua umezaliwa haya pole sana Mungu akuponyeHappy birthday? Sijazaliwa mwezi huu shangazi, nashukuru ma Dr wa kairuki kwa kunipa tiba
Mwezi wote huu niko kitandani hospitalKheee nikajua umezaliwa haya pole sana Mungu akuponye
Hahahaha,usijali ahsanteKheee nikajua umezaliwa haya pole sana Mungu akuponye
Duuh na huku unashika simu upo jf Mungu aendelee kukuponyaMwezi wote huu niko kitandani hospital
Hahahahaha..kawaida sana..kwani nilikua mahututi shangazi hadi nishindwe kuingia jf ?Duuh na huku unashika simu upo jf Mungu aendelee kukuponya
Sawa we mzee pole sanaHahahahaha..kawaida sana..kwani nilikua mahututi shangazi hadi nishindwe kuingia jf ?
Ahsante,nikutakie Weekend njemaSawa we mzee pole sana