Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunafurahi umepona mdau. Mungu ni mwema, shukrani kwa madaktari na wauguzi, wewe pamoja na wote waliofanikisha kuweza kuamka toka kitandani tenaToka 9 December mpk 12 December 2023 nililazwa ...toka 13 December mpk 29 December nilikua nakimbizana na ma Dr na waaguzi ktk kuniweka fit nakurudi uraiani ...Nawashukuru sana ma Dr na wauguzi wote .Mungu awabariki
AmenTunafurahi umepona mdau. Mungu ni mwema, shukrani kwa madaktari na wauguzi, wewe pamoja na wote waliofanikisha kuweza kuamka toka kitandani tena
Pole sana dogo.Toka 9 December mpk 12 December 2023 nililazwa ...toka 13 December mpk 29 December nilikua nakimbizana na ma Dr na waaguzi ktk kuniweka fit nakurudi uraiani ...Nawashukuru sana ma Dr na wauguzi wote .Mungu awabariki
Hahahaha,ahsante leo nimekugua dogo🤣Pole sana dogo.
Sio leo tu.Hahahaha,ahsante leo nimekugua dogo🤣
Pole sana mkuu, ni jambo jema afya yako imeimarika.Toka 9 December mpk 12 December 2023 nililazwa ...toka 13 December mpk 29 December nilikua nakimbizana na ma Dr na waaguzi ktk kuniweka fit nakurudi uraiani ...Nawashukuru sana ma Dr na wauguzi wote .Mungu awabariki
Shukrani mzee, na kwako pia.Happy New 2024 wadau wote wa jukwaa hili.
Mafanikio na afya njema juu yetu tunapobadili tarehe ya jana kuanza ya leo.
Acha Upendo Utamalaki
Ahsante mubebe yangu, pisi kali yangu, chuma changu, mrembo wangu,makaveli10 baby happy new year. Love you😍😍😍
Asante we mzee na kwako piaHeri ya Mwaka Mpya iliyotangulia kwa wote humu
Asante binamu yangu na kwako piaHappy New 2024 wadau wote wa jukwaa hili.
Mafanikio na afya njema juu yetu tunapobadili tarehe ya jana kuanza ya leo.
Acha Upendo Utamalaki
Dogooo ila auntie [emoji1787][emoji1787] happy new year auntie yangu mzuri mzuriPole sana dogo.