....nisipokonda mwezi huu basi mimi sio mimi. Mvi kichwani hazijawahi kunipa vikohozi labda mafua.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mababu tena....na walivyo na Vikohozi visivyoisha...
Wewe kuweza[emoji1]
Nikajua wewe ndio mstaafu🤣...kama kuna kitu sikijui niambiwe tafadhari, usikute nimekaa stand hapa na gari limeniacha. Mstaafu kapita na ua ninalolitaka na sijaambiwa
🤣🤣🤣🤣....nisipokonda mwezi huu basi mimi sio mimi. Mvi kichwani hazijawahi kunipa vikohozi labda mafua.
...hapana, mbona anajua kabisa mimi sijastaafishwa! Inaonekana kuna mstaafu unamjua na kwa kuwa mimi huwa nakuwa wa mwisho kujua, hutaki kuniambia mapema.Nikajua wewe ndio mstaafu🤣
...acha tu mtanzania mwenzangu, nchi ngumu sana hii. Mwaka unapita sasa naomba mawasiliana ya posta (SLP) sipewi, sasa unadhani hiyo barua ya vfalenda-day ataipataje?🤣🤣🤣🤣
Kazi unayo!
🤣🤣🤣🤣...acha tu mtanzania mwenzangu, nchi ngumu sana hii. Mwaka unapita sasa naomba mawasiliana ya posta (SLP) sipewi, sasa unadhani hiyo barua ya vfalenda-day ataipataje?
View: https://www.instagram.com/reel/CooawvIOqN4/
Nitumie namba ya sanduku la posta nikutumie umpatie, hata kama ni c/o Mtakuja Praimale Skuli nitumie umfikishie🤣🤣🤣🤣
Nipe mimi itamfikia.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣...kama kuna kitu sikijui niambiwe tafadhari, usikute nimekaa stand hapa na gari limeniacha. Mstaafu kapita na ua ninalolitaka na sijaambiwa
🤣🤣🤣🤣Kwanini lakini Obe......hapana, mbona anajua kabisa mimi sijastaafishwa! Inaonekana kuna mstaafu unamjua na kwa kuwa mimi huwa nakuwa wa mwisho kujua, hutaki kuniambia mapema.
Ndiyo maana kila nikimdipu anakata simu
Ujue nilikuwa na dalili zote za kumuamini kwa mashaka lakini umeniambia, sitamuamini tena sio kwa vikohozi wala ustaafu🤣🤣🤣🤣Kwanini lakini Obe...
Usipende kumsikiliza huyo mwehu....Leo amesahau kumeza dawa zake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ujue nilikuwa na dalili zote za kumuamini kwa mashaka lakini umeniambia, sitamuamini tena sio kwa vikohozi wala ustaafu
Ha hahaah. BTW, nimefurahi kukuona, nilitaka kuchanganyikiwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimefurahi pia Obe...
Karibu.
Tayari nimetuma.Nitumie namba ya sanduku la posta nikutumie umpatie, hata kama ni c/o Mtakuja Praimale Skuli nitumie umfikishie
We kaa hapo mstaafu anajilia vyake.Ujue nilikuwa na dalili zote za kumuamini kwa mashaka lakini umeniambia, sitamuamini tena sio kwa vikohozi wala ustaafu
Ha hahaah. BTW, nimefurahi kukuona, nilitaka kuchanganyikiwa
🤣🤣🤣🤣🤣 danganya toto hiyo.View attachment 2897227
Atoto makaveli10 Lee mlisema sijui mstaafu sijui kikohozi, nini na nini valentine itakuwa kama ya mwaka jana, kiko wapiiiiii. Ndugu zanguni kwa macho yenu mmeona nimeambiwa Karibu nami bila hiyana nimekaribia, nimevua na viatu kabisa na sivaagi soksi. Kiko Wapi nawauliza tena, Kiko Wapi
Sio jimama ....ni mrembooo fulam amazing[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe umepata jimama la wapi?
Kaka we jichanganye ukiitiwa fursa usikimbilie, huenda ww ndio fursa yenyewe..View attachment 2897227
Atoto makaveli10 Lee mlisema sijui mstaafu sijui kikohozi, nini na nini valentine itakuwa kama ya mwaka jana, kiko wapiiiiii. Ndugu zanguni kwa macho yenu mmeona nimeambiwa Karibu nami bila hiyana nimekaribia, nimevua na viatu kabisa na sivaagi soksi. Kiko Wapi nawauliza tena, Kiko Wapi