Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimefurahi pia Obe...
Karibu.
FxOAn1TWIAc0lWn.jpg

Atoto makaveli10 Lee mlisema sijui mstaafu sijui kikohozi, nini na nini valentine itakuwa kama ya mwaka jana, kiko wapiiiiii. Ndugu zanguni kwa macho yenu mmeona nimeambiwa Karibu nami bila hiyana nimekaribia, nimevua na viatu kabisa na sivaagi soksi. Kiko Wapi nawauliza tena, Kiko Wapi
 
View attachment 2897227
Atoto makaveli10 Lee mlisema sijui mstaafu sijui kikohozi, nini na nini valentine itakuwa kama ya mwaka jana, kiko wapiiiiii. Ndugu zanguni kwa macho yenu mmeona nimeambiwa Karibu nami bila hiyana nimekaribia, nimevua na viatu kabisa na sivaagi soksi. Kiko Wapi nawauliza tena, Kiko Wapi
🤣🤣🤣🤣🤣 danganya toto hiyo.
 
View attachment 2897227
Atoto makaveli10 Lee mlisema sijui mstaafu sijui kikohozi, nini na nini valentine itakuwa kama ya mwaka jana, kiko wapiiiiii. Ndugu zanguni kwa macho yenu mmeona nimeambiwa Karibu nami bila hiyana nimekaribia, nimevua na viatu kabisa na sivaagi soksi. Kiko Wapi nawauliza tena, Kiko Wapi
Kaka we jichanganye ukiitiwa fursa usikimbilie, huenda ww ndio fursa yenyewe..
Tunasubiri ule za kichwa sisi tuko hapa hapa 🤣
 
Back
Top Bottom