....duh, aisee. Ujue nini, sijalala nikaota jambo kama hili. Watu wabaya sana kumbe mimi ndiyo mbabu ninayeongelewa humu, nyie nyiee hebu amkeni.🤣🤣🤣🤣 Binamu we ndio mbabu wanayemzungumzia
Nina mashaka wewe sio binadamu.
Auntie ni huzuni kwakweli. Nafikiri makosa yangu hayasameheki 😂😂Auntie ifike hatua we na hela mmalize tofauti zenu 🤣🤣🤣🤣
Mbabu mstaafu😂Mbona mbabu 🤣🤣🤣🤣
Anakuwaga na mbwembwe huyooo😂😂 vikimchachia utafikiri mtu vile!Me anidanganye wapii 🤣🤣🤣🤣 vikimshinda atarudi hapahapa kwa mshangazi wake
😂😂😂 hivi kumbe kukudanganya rahisi hivyo!! Ndio maana mstaafu wala hana stress.....duh, aisee. Ujue nini, sijalala nikaota jambo kama hili. Watu wabaya sana kumbe mimi ndiyo mbabu ninayeongelewa humu, nyie nyiee hebu amkeni.
Ngoja nikabadilishe miaka yangu ya kuzaliwa na nijisajiri upya niachane na umri wa Mrisho Ngassa.
Tresor Mandala nataka kukuuliza tu, je umeshiriki kwenye kwenye kunibadilishia umri au ni huyu mdau wa NIDA Atoto anajaribu kutafuta sababu za kunibabusha nitoswe msimu huu wa kilimo
...yaani sasa hivi nimekosa kabisa msimamo, ninadanganyika. Na furahiday haipaswi kuwa namna hii, inapaswa kuwa nyepesi, the easy one lakini unataka kunipa sababu za kutafuta safari lager baridi ninywe nilewe kesho😂😂😂 hivi kumbe kukudanganya rahisi hivyo!! Ndio maana mstaafu wala hana stress.
Wakati unalewa, mstaafu anakustaafisha....yaani sasa hivi nimekosa kabisa msimamo, ninadanganyika. Na furahiday haipaswi kuwa namna hii, inapaswa kuwa nyepesi, the easy one lakini unataka kunipa sababu za kutafuta safari lager baridi ninywe nilewe kesho
Hahahaha..labda ukacheki RITA kwa uthibitisho zaidi....duh, aisee. Ujue nini, sijalala nikaota jambo kama hili. Watu wabaya sana kumbe mimi ndiyo mbabu ninayeongelewa humu, nyie nyiee hebu amkeni.
Ngoja nikabadilishe miaka yangu ya kuzaliwa na nijisajiri upya niachane na umri wa Mrisho Ngassa.
Tresor Mandala nataka kukuuliza tu, je umeshiriki kwenye kwenye kunibadilishia umri au ni huyu mdau wa NIDA Atoto anajaribu kutafuta sababu za kunibabusha nitoswe msimu huu wa kilimo
....duh, aisee. Ujue nini, sijalala nikaota jambo kama hili. Watu wabaya sana kumbe mimi ndiyo mbabu ninayeongelewa humu, nyie nyiee hebu amkeni.
Ngoja nikabadilishe miaka yangu ya kuzaliwa na nijisajiri upya niachane na umri wa Mrisho Ngassa.
Tresor Mandala nataka kukuuliza tu, je umeshiriki kwenye kwenye kunibadilishia umri au ni huyu mdau wa NIDA Atoto anajaribu kutafuta sababu za kunibabusha nitoswe msimu huu wa kilimo
Anakuwaga na mbwembwe huyooo[emoji23][emoji23] vikimchachia utafikiri mtu vile!
Kwakweli kwa huyu shindikana naona ni wewe tu ndio umebakia kutoa ushuhuda🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787] Akipataga penzi jipya sasa tunakoma vikimshinda sasa anarudi kwa mshangazi wake shunie na maneno mengiiiii
Auntie nani anamuweza huyoooo [emoji1787][emoji1787] hakunaaa zaidi yangu nipo hapaaaa
Kwakweli kwa huyu shindikana naona ni wewe tu ndio umebakia kutoa ushuhuda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata kama ni mvuta bangiiiii🎤🎧🎧🎹[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo ni chaguo lako nahisi ile nyimbo waliniimbia mimi
[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
HahahahahaHe he nakuhamu sanaaaaa we mzee jamaniiiii [emoji7]