Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
HahahahahaSina wivuu ila roho inauma, unaweza penda kumbe hupendwi haya mapenzi hayana huruma. Nimejikaza wee ila nafuu haipatikani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaSina wivuu ila roho inauma, unaweza penda kumbe hupendwi haya mapenzi hayana huruma. Nimejikaza wee ila nafuu haipatikani.
Kwa nini umemtag shunie wa kwanza ?Good [emoji4] morning Shunie Atoto Tresor Mandala Lee makaveli10 amkeni mnalala hadi sahii na mnadaiwa Kodi ya nyumba.
Oya mie maisha ya kupanga panga nishaachana nayo kitambo.Good 😊 morning Shunie Atoto Tresor Mandala Lee makaveli10 amkeni mnalala hadi sahii na mnadaiwa Kodi ya nyumba.
Hahahaha anayedaiwa kodi ndio anaamka mapema ili kumkimbia mwenye nyumba...mie sidaiwi kodi wala sidaiwi kazi ..naamka muda nao taka mimiGood 😊 morning Shunie Atoto Tresor Mandala Lee makaveli10 amkeni mnalala hadi sahii na mnadaiwa Kodi ya nyumba.
Hahahahahaha mie najua wewe ndio umemficha
Hapana kwa kweli, mie mwenyewe namsaka labda nimuite kipenzi changu Atoto atusaidie kupaza sauti.Hahahahahaha mie najua wewe ndio umemficha
Hahahahaha..basi sawaHapana kwa kweli, mie mwenyewe namsaka labda nimuite kipenzi changu Atoto atusaidie kupaza sauti.
🤣🤣🤣🤣🤣Kwa nini umemtag shunie wa kwanza ?
Daah umejuaje!! Nishaamka kumkimbia mama mwenye nyumba.Good 😊 morning Shunie Atoto Tresor Mandala Lee makaveli10 amkeni mnalala hadi sahii na mnadaiwa Kodi ya nyumba.
Kwahiyo rafiki unanisema kimafumbo eeh!!!Hahahaha anayedaiwa kodi ndio anaamka mapema ili kumkimbia mwenye nyumba...
Hahahahaha Rafiki km unadaiwa we lipa tuKwahiyo rafiki unanisema kimafumbo eeh!!!
Mamiloo hayo yanatokea wapi kipenzi, si unajua mie mumeo ni mvuvi, tukiwa kwenye BAHRI network tabu..😂
HahahahahaDaah umejuaje!! Nishaamka kumkimbia mama mwenye nyumba.
Unaweza kujua ni kwa nini?🤣🤣🤣🤣🤣
Unalo!
Sasa nalipa nini rafiki? Ni kumkimbia tu mwenye nyumba🤣🤣🤣Hahahahaha Rafiki km unadaiwa we lipa tu