Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha..wapi nimewahi kukabwa shangazi? Sio mmu wala chit-chat hakuna wakunikaba shangazi..nasitarajii kukabwa na yoyote yule labda labda .....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyu mzee anakabwaga mmu uko au chit chat majukwaa mengine
Labda labda nani endelea we mzee [emoji1787][emoji1787]Hahahaha..wapi nimewahi kukabwa shangazi? Sio mmu wala chit-chat hakuna wakunikaba shangazi..nasitarajii kukabwa na yoyote yule labda labda .....
Labda labda itokee tu na sidhani kama itatokea ..maana siko interest na mtu humuLabda labda nani endelea we mzee [emoji1787][emoji1787]
Sisi ndio sisi, wengine wote mafisi. 😂🤣😂 ila nyie 😂
Jambaziiiii🤣Ndio vizuri mpenzi wake nikimuibia auntie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787] Ipi jamaniiii nampenda babe wangu auntie ebu acha wivu wako basi
Hapanaaa, zileteAchana nazo hizo auntie nilizoruka
Na pa kwenda huna🤣🤣🤣Akirudi nitampokea mpenzi wangu
He he kama kweli we mzee simba mwenda pole....Labda labda itokee tu na sidhani kama itatokea ..maana siko interest na mtu humu
Niache na ujambazi wangu [emoji1787]Jambaziiiii[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na uzee huu atanitaka nani na pakwenda sina usinione chiziNa pa kwenda huna[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii kweli kabisa..sina cha usimba wala u yanga mwenda pole ..kama sikuhusika sehemu ila watu wakapitishiana pdf hadi wasap...aisee sitohitaji kujuana na mtu humu JF..ibaki story tu juu kwa juuHe he kama kweli we mzee simba mwenda pole....
Oooh kumbe!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyu mzee anakabwaga mmu uko au chit chat majukwaa mengine
Wacha we!!Labda labda itokee tu na sidhani kama itatokea ..maana siko interest na mtu humu
Sikuachiiiii😂Niache na ujambazi wangu [emoji1787]
Kwahiyo mnapitishiana pdf kumbe!!Hii kweli kabisa..sina cha usimba wala u yanga mwenda pole ..kama sikuhusika sehemu ila watu wakapitishiana pdf hadi wasap...aisee sitohitaji kujuana na mtu humu JF..ibaki story tu juu kwa juu
Hahahahahaha..wajinga na wapumbavu fulani hivi ndio mambo yao hayoKwahiyo mnapitishiana pdf kumbe!!
Daaaah!Hahahahahaha..wajinga na wapumbavu fulani hivi ndio mambo yao hayo