Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hatimaye tumejua sababu ya watu kuwa wabishi 😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatimaye tumejua sababu ya watu kuwa wabishi 😜
Tangu niliposoma kwenye History eti Binadamu tulitokana na Nyani Sina hamu na baadhi ya tafiti 😅Babu tafiti inapingwa kwa tafiti [emoji1787][emoji1787] we niamini tu
[emoji1787][emoji1787]Hatimaye tumejua sababu ya watu kuwa wabishi [emoji12]
Basi na tafiti ziaminiwe babu [emoji1787][emoji1787]Tangu niliposoma kwenye History eti Binadamu tulitokana na Nyani Sina hamu na baadhi ya tafiti [emoji28]
Kishingo upande Mjukuu, ngoja niikubali tafiti yako 🤗Basi na tafiti ziaminiwe babu [emoji1787][emoji1787]
Kishingo upande Mjukuu, ngoja niikubali tafiti yako [emoji847]
[emoji854][emoji7][emoji7]
Nitafanyaje na ni Mjukuu wangu kasema😜Babu hiyo kishingo upande haitakiwi bwana we kubali tu kiroho safi [emoji7]
Kiev iachane na ubishi na ukaidi.Ukraine imekataa pendekezo la Papa Francis la kufanya mazungumzo na Urusi ili kumaliza mapigano yaliyodumu kwa zaidi ya miaka miwili ikisema Kyiv haitajisalimisha kamwe.
Papa Francis amesema kutokana na hali kuzidi kuwa mbaya kwa pande zote “mtu anapaswa kuonyesha ujasiri wa kusalimu amri kwa kuinua bendera nyeupe na kujadiliana.”View attachment 2931179
Wanachota maji kwenye kibwawa cha maji ya kunywa wanaenda kupoza chumvi ya maji ya bahari.Rais Samia Suluhu Hassan amechangiwa shilingi milioni 120 kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea Urais mwaka 2025.
Fedha hizo zimechangwa katika kongamano lililowakutanisha wanawake kwa ajili ya kumpongeza kwa kuwa kinara katika nishati safi ya kupikia.View attachment 2931181
Ila hizi tafiti nyingine zinatatiza sana.Je wajua inakujia na shunie shunieView attachment 2931183
Haya huo hapo.Koka moto tuuchemshe [emoji1787][emoji1787]
Mechi ya soka inaanza mpaka inaisha wao wanapiga show tu[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwamba Sokwe nao wanaota Kipara kama Binadamu?
Endelea kunishawishi Mjukuu nami nijifunze [emoji847]