Obe
JF-Expert Member
- Dec 31, 2007
- 10,083
- 34,850
...ndiyo hapo sasa hata mimi nashangaa, yaani hapa nimepatwa na kigagaziko hata sijielewi. Atakuwa ni huyu huyu mpyaKwanza umeachwa na naniiiii binamu [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...ndiyo hapo sasa hata mimi nashangaa, yaani hapa nimepatwa na kigagaziko hata sijielewi. Atakuwa ni huyu huyu mpyaKwanza umeachwa na naniiiii binamu [emoji1787]
Mvua tena!! Huku kwetu ni vumbi tu na upepo mkali.Sijambo kabisa , natumani nawe, pole kwa mvua kama ipo huko kwenu.
Daaah, si tokea alfajiri mvua tu, umeme hamna taabu tupu!Mvua tena!! Huku kwetu ni vumbi tu na upepo mkali.
Hope umeacha kukesha.
Hapa na usingizi yaani , jana nililala saa sita🤣Hope umeacha kukesha.
Hongereni, mlime sasa.Daaah, si tokea alfajiri mvua tu, umeme hamna taabu tupu!