Pole karibu tena uncleAisee makapuku mbona mna hasira hivi ?? Kila nikingia Jamii forum nakuta uzi umesogea kwa page 100 nashindwa hata nianzie wapi
Naijua vyema sana na hii ndo iliyosababisha nihame Team ScaniaDuu hii unajua ina auto-pilot?
Feelings gani???"But feelings can't be ignored, no matter how unjust or ungrateful they seem. "
--Anne Frank
Huu uzi ni kama maji, hauepukikiVipi braza Mshana kawa mkongwe wa kwanza anayetamani kuwa kapuku au ? Namwona humu kwa makapuku simwelewi
Mgambo sungusunguVipi braza Mshana kawa mkongwe wa kwanza anayetamani kuwa kapuku au ? Namwona humu kwa makapuku simwelewi
za ibra87Feelings gani???
Haha halafu wewe ndie Pilot ? Na wasiwasi kama wewe ni kapuku au upo humu ndani kwa misheni maalumu uliyotumwa na wakongwe ,kuna sehemu niliona una crush na Mkongwe ,sasa wewe kapuku gani wakati unatoka na wakongwe ?Sijui kama Boeing itafika kwa speed hii [emoji23]
Sina kabisaaaaza ibra87
Una akili kuliko shuleNaijua vyema sana na hii ndo iliyosababisha nihame Team Scania
Teh teh humu naona mmfekia hadi kwenye Malori na bitoz na screen shots zake za mechi ,kweli makapuku ni multipurpose ,Yani hapa ni zaidi ya kazi mkuu...... Watu wamevurugwaaaaaa
[emoji23] [emoji23] Na wewe usinifanyie hivyo sasa. Hata in real life kuwa na crush kitu cha kawaida, nilikaribishwa na Bitoz mwenyewe na nikaja kwa hiari yangu [emoji2]Haha halafu wewe ndie Pilot ? Na wasiwasi kama wewe ni kapuku au upo humu ndani kwa misheni maalumu uliyotumwa na wakongwe ,kuna sehemu niliona una crush na Mkongwe ,sasa wewe kapuku gani wakati unatoka na wakongwe ?
Mazingira tu mkuu ndio yalifanya nikaelewa hayo,Una akili kuliko shule
Asante ndugu yanguPole karibu tena uncle
Haha sawa brazaMgambo sungusungu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mazingira tu mkuu ndio yalifanya nikaelewa hayo,
Akili ndio ninazo ila kwasababu nasoma tuition
Yani hatutabiriki kabisaaaa, ila uzi ndo umezidi kuwa hot sasaTeh teh humu naona mmfekia hadi kwenye Malori na bitoz na screen shots zake za mechi ,kweli makapuku ni multipurpose ,
Teh teh ,mimi nimewatadharisha tu makapuku unaweza ukawa double agent[emoji23] [emoji23] Na wewe usinifanyie hivyo sasa. Hata in real life kuwa na crush kitu cha kawaida, nilikaribishwa na Bitoz mwenyewe na nikaja kwa hiari yangu [emoji2]
Yaani wakianza kuni-doubt kesi inahamia kwako Uncle [emoji87]Teh teh ,mimi nimewathaarisha tu makapuku unaweza ukawa double agent