Makapuku Forum

Makapuku Forum

760f925cfd30cafa6692786a384804e4.jpg

Droo tauari
....................
 
Haha halafu wewe ndie Pilot ? Na wasiwasi kama wewe ni kapuku au upo humu ndani kwa misheni maalumu uliyotumwa na wakongwe ,kuna sehemu niliona una crush na Mkongwe ,sasa wewe kapuku gani wakati unatoka na wakongwe ?
[emoji23] [emoji23] Na wewe usinifanyie hivyo sasa. Hata in real life kuwa na crush kitu cha kawaida, nilikaribishwa na Bitoz mwenyewe na nikaja kwa hiari yangu [emoji2]
 
Back
Top Bottom