Mbali sanaaaaa. Watu wasituchulie poa tuNdio mimi ndimi ,tumetoka mbali eti toka kuendesha baiskeli mpaka kwenye unabii ,
Hata wewe. SawaInabidi tuanze uchunguzi.
Ungekinukisha kama ungesema ni wa mkoa fulani hivi
U S A[emoji631] [emoji631] [emoji631]Wawapi hawa?View attachment 337259
Teh ujue kule watu walikua wanaogelea sijui wanaokua kwenye magari wanaangaliwa ,ndio tukakutana huko waendesha baiskeli ,nashangaa kina Ibra wajuzi tu analia lia na JimenaMbali sanaaaaa. Watu wasituchulie poa tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hata wewe. Sawa
Nilitambua hilo mapema sana.Ungekinukisha kama ungesema ni wa mkoa fulani hivi
Mapenzi wee acha tu hayachagui umri kabila wala diniTeh ujue kule watu walikua wanaogelea sijui wanaokua kwenye magari wanaangaliwa ,ndio tukakutana huko waendesha baiskeli ,nashangaa kina Ibra wajuzi tu analia lia na Jimena
Umesahau hayachagui pia jinsia maana naona picha moja umeweka ya hao wa upande wa piliMapenzi wee acha tu hayachagui umri kabila wala dini
[emoji34] [emoji34] [emoji34] ule ushetwani uleUmesahau hayachagui pia jinsia maana naona picha moja umeweka ya hao wa upande wa pili
Hapa ni pagumuUmesahau hayachagui pia jinsia maana naona picha moja umeweka ya hao wa upande wa pili
Kweli tumetoka mbali sanaa, watu walikuwa wanajisifia jinsi wanavyomiliki gari za kifahari na jinsi wanavyoangaliana kwenye foleni, sisi na baiskeli zetu ndo tukakutana,Teh ujue kule watu walikua wanaogelea sijui wanaokua kwenye magari wanaangaliwa ,ndio tukakutana huko waendesha baiskeli ,nashangaa kina Ibra wajuzi tu analia lia na Jimena
Dah ni pagumu kweli ndugu yanguHapa ni pagumu
Mkuu nafikiri muda wako ndiyo huuDuuu mna mapafu ya mbwa? Mukeshe na kulala unono...msisahau kusali na kufanya dua kila mtu kwa imani yake...! Hata Jimena
Haha aisee na kweli ule ni ushetani[emoji34] [emoji34] [emoji34] ule ushetwani ule
Bado kidogoMkuu nafikiri muda wako ndiyo huu