Mkuu, avatar yako ni hatareeee.Pamoja kapuku mwenzangu. Tutatoka tuu[emoji2] [emoji111]
Ni kitambo sana ndugu yangu. Upo powa lakiini? Eti nimekidhi vigezo!!!Momiee cute b nawe upo ktk kundi hili
Labda pengine sielewi maana ya makapuku. Lakini mi nadhani linadhalilisha hivi.. Sorry si kwaajili ya kuvuruga mipango yenu. Lakini momiee cute b namfahu kwa fikra zangu nilidhani hastahili kuwemo hapakutokana na rasimu ya katiba niliyoisoma hapo juu.
Anyway habari za siku nyingi cute b, come plz pande hii i want to hear your beautifull voice.
BACK TANGANYIKA
Daah mnavyonisema, nitaweka picha yangu mimi, watu wote mbaki vinywa wazi[emoji2] [emoji2]Mkuu, avatar yako ni hatareeee.
Mbona likes zako mi sizioni??yani hapa tukipeana like za kutosha utasikia ile "nyuma geuka"
yaani wa mwisho akawa wakwanza(yaan sisi makapuku tukawa wakwanza wale wanaojiita wakitambo wakawa wa mwisho)
Done [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]Poa mkuu
nilikuwa kwa road ila nikifika home ntatembeza like kwa kila mchangiaji humuMbona likes zako mi sizioni??
Pamoja sana [emoji111] [emoji111] [emoji111]Yes, I am.
Tulikuwa tuna chimba dawa kwanza.[emoji350] [emoji350] [emoji350] jamani mbona watu siwaoni tenaa[emoji15] [emoji15] mmedisappear wapi tena?
Tupo tu.. Ila na majukumu mengine nayo yapo hivyo tukipotea usiwe na shaka we kandamiza likes tu[emoji350] [emoji350] [emoji350] jamani mbona watu siwaoni tenaa[emoji15] [emoji15] mmedisappear wapi tena?
Natamani iendelee kuwa hivi.hii thread lazima itoboe OZONE maana mpaka sasa hivi imeshafikia page 52 per 9 hours.
yani mpaka mwaka uishe itakuwa ndo thread iliyochangiwa kwa wingi kuliko zote.
hapa ndo moderetor ajue kuwa sisi MAKAPUKU kilio chetu kinaweza kufika hadi sayari ya Pluto
Lol maana naona jiiiiiiiTulikuwa tuna chimba dawa kwanza.
Aisee umemisi vitu vingi tu,nakushauri uanze kupitia page mojamoja!Nimemiss nini vijana wangu😀
Labda likes tu, ila so far una likes nyingi pengine kuliko hata idadi ya posts chezea Makapuku???Nimemiss nini vijana wangu😀