Makapuku Forum

Makapuku Forum

Momiee cute b nawe upo ktk kundi hili

Labda pengine sielewi maana ya makapuku. Lakini mi nadhani linadhalilisha hivi.. Sorry si kwaajili ya kuvuruga mipango yenu. Lakini momiee cute b namfahu kwa fikra zangu nilidhani hastahili kuwemo hapakutokana na rasimu ya katiba niliyoisoma hapo juu.

Anyway habari za siku nyingi cute b, come plz pande hii i want to hear your beautifull voice.

BACK TANGANYIKA
Ni kitambo sana ndugu yangu. Upo powa lakiini? Eti nimekidhi vigezo!!!
Ha Ha ha usijali hii ni zaidi ya M4C
 
hii thread lazima itoboe OZONE maana mpaka sasa hivi imeshafikia page 52 per 9 hours.
yani mpaka mwaka uishe itakuwa ndo thread iliyochangiwa kwa wingi kuliko zote.

hapa ndo moderetor ajue kuwa sisi MAKAPUKU kilio chetu kinaweza kufika hadi sayari ya Pluto
 
Back
Top Bottom