Hapa hajasemwa mtu wala hajatajwa mtu jina, naona umeanza kujishtukia tu, ila ukisikia Paaaaaaaaa............Watu wako busy kuzungumzia suala la sayari ya Nibiru kuigonga dunia siku nne zijaa na kusababisha dunia kuangamia ila huku watu wako busy kuzungumzia watu!
Sijaelewa.washabiki wa man u buana 😀😀😀 makapuku pia ni wale waliosalitiwa na MWANITESA UNITED
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji102] [emoji102] siyo mimi mfuko tu!!Sio kwa uchoyo huo[emoji115] [emoji115] [emoji30] [emoji30]
Karibuwashabiki wa man u buana 😀😀😀 makapuku pia ni wale waliosalitiwa na MWANITESA UNITED
Kwahyo mkuu unataka hiyo sayari tukaikamate ama vipi.Watu wako busy kuzungumzia suala la sayari ya Nibiru kuigonga dunia siku nne zijaa na kusababisha dunia kuangamia ila huku watu wako busy kuzungumzia watu!
Sasa tutajitahidi kukuongelea wewe siku 3 mfululizoWatu wako busy kuzungumzia suala la sayari ya Nibiru kuigonga dunia siku nne zijaa na kusababisha dunia kuangamia ila huku watu wako busy kuzungumzia watu!
Uko siriazi kweli ulichokiandika hiki!?Watu wako busy kuzungumzia suala la sayari ya Nibiru kuigonga dunia siku nne zijaa na kusababisha dunia kuangamia ila huku watu wako busy kuzungumzia watu!
mkuu BITOZ alieleza makapuku ni kama wageni member wenye point chache na mimi nikaongezea kipengele kimojawapo kuwa MAKAPUKU ni wale pia ambao waliochoshwa na man uSijaelewa.
Watu wengine wanaboa sana.Hapa hajasemwa mtu wala hajatajwa mtu jina, naona umeanza kujishtukia tu, ila ukisikia Paaaaaaaaa............
Cc Th Name
Bitoz
ibra87
peterchoka
mshana jr
Zamaulid
youngblood
Na makapuku wote
Okay, pamoja mkuumkuu BITOZ alieleza makapuku ni kama wageni member wenye point chache na mimi nikaongezea kipengele kimojawapo kuwa MAKAPUKU ni wale pia ambao waliochoshwa na man u
Nimeelewa tu mihogo hapo.. Ming'oko umeniacha.. Ila asante sana.. Jioni tena tafadhali usini sahauNimeandaa mihogo ya nazi na ming'oko ila utashushua maji baridiii.
Karibu sana.
Hapo tayari matokeo yanajulikana.
ha haaa ha ha aaaha ATLETICO HATAKAA AISAHAU SIKU YA LEOKaribu
MwanaBASHALONA Leo hakuna mbeleko
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
......................................
Huyu kaingilia mlango upi tena jamani!!!?!?Watu wako busy kuzungumzia suala la sayari ya Nibiru kuigonga dunia siku nne zijaa na kusababisha dunia kuangamia ila huku watu wako busy kuzungumzia watu!
Au labda alikua anaota ndoto gafla akaingia hukuKwahyo mkuu unataka hiyo sayari tukaikamate ama vipi.
Huyu anatafuta watu waongee.Huyu kaingilia mlango upi tena jamani!!!?!?
Mpira dk 90ha haaa ha ha aaaha ATLETICO HATAKAA AISAHAU SIKU YA LEO
Tumsamehe bure tu.. Atakua ametenda kabla ya kufikiriHuyu anatafuta watu waongee.
Kweli asamehewe tu.Tumsamehe bure tu.. Atakua ametenda kabla ya kufikiri