Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Wakwendreeeeeeee mi napenda Malmö fc tu[emoji85] [emoji85] [emoji85]Du...una roho mbaya sijapata kuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakwendreeeeeeee mi napenda Malmö fc tu[emoji85] [emoji85] [emoji85]Du...una roho mbaya sijapata kuona
Asante my Wii, usiku mwemaNdio tuna lala hapa. Usiku mwema wii!
Ha ha ha wanatolewagwa mwanzoooo tena bila hata point[emoji1]Wakwendreeeeeeee mi napenda Malmö fc tu[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Pole yao sana. Leo wamesandawameshazoea kubebwa mpaka moinzani apewe red card ndo washinde..
wakwendreeeee kabisa uko
Hii kwendreeee kuna mtu humu alikuwa mshikaji lkn alipo itumia kwangu kwenye post fulani hivi ndo ulikuwa mwisho wa mimi kuchangia post yake...naichukiaaaaaaWakwendreeeeeeee mi napenda Malmö fc tu[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Potelea mbali, wakishatolewa nabaki na Man United na real Madrid, hata hivyo huko kote upepo usipokaa vyema Luleå Hockey haijawahi kuniangushaHa ha ha wanayolewagwa mwanzoooo tena bila hata point[emoji1]
😀😀 haya sasa hv mda umeenda asbuhi na simamia pambano na kiumande..Unipe mrejeshoNataka niongeze idadi ya mawifi
Ninesikitika...leo sitasinzia....du Diego Simone kaniharibia usingizi wangu[emoji24]BARCA kakubali kupakatwa
Apakatwe tu maana hakuna namnaBARCA kakubali kupakatwa
Usijaliiii[emoji4] [emoji4] [emoji4]😀😀 haya sasa hv mda umeenda asbuhi na simamia pambano na kiumande..Unipe mrejesho
Iniesta leo hakucheza kwani?? IniiieśtaNinesikitika...leo sitasinzia....du Diego Simone kaniharibia usingizi wangu[emoji24]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ninesikitika...leo sitasinzia....du Diego Simone kaniharibia usingizi wangu[emoji24]
Aiss tuwe na huruma basi kwa timu bora iliyopoteza mchezo kwa bahati mbayaApakatwe tu maana hakuna namna
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji124] [emoji124] [emoji124][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimecheka kwa sauti..... Ushindi raha sana
Nausipate tu kwa kweliKuna manzi nlikua nacheki nae game anashabikia BARCA..... game imeisha kavimbisha mdomo..,, dah sidhani kama ntaiona nyuchi leo!!
Mpira ni magoli tu, na mpira ni dakika 90 mengine maneno tu hata kwenye kanga yapoAiss tuwe na huruma basi kwa timu bora iliyopoteza mchezo kwa bahati mbaya
Mkuu tuhurumiane basi angalau uninunulie bia 1 nipunguze machungu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimecheka kwa sauti..... Ushindi raha sana
sio mbaya utatulindia jukwaa mkuuNinesikitika...leo sitasinzia....du Diego Simone kaniharibia usingizi wangu[emoji24]
Naomba uje unifariji[emoji42]Mpira ni magoli tu, na mpira ni dakika 90 mengine maneno tu hata kwenye kanga yapo
Wapi Puyol