Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Itakuwa Puyolhyo ni interview ya mesi au iniesta [emoji780]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa Puyolhyo ni interview ya mesi au iniesta [emoji780]
Sawa kabisa mkuu, nimepokea kijitibora umekuja mlinzi wa zamu nkukabidhi rungu
una utani na watu....zamaulid [emoji124] [emoji124]Itakuwa Puyol
khaaaa mkuu jukwaa kubwa hili sio la kulindwa na kijiti [emoji16] [emoji16]Sawa kabisa mkuu, nimepokea kijiti
Mbona daily nalinda kwa style hiikhaaaa mkuu jukwaa kubwa hili sio la kulindwa na kijiti [emoji16] [emoji16]
Karibu sana. Pole sana ndo mpira huo just relaxMakapuku nimewasili baada ya mechi
Siwez nikarelax wakat tumeporwa ushindiKaribu sana. Pole sana ndo mpira huo just relax
Siwez nikarelax wakat tumeporwa ushindi
ndo mana likes zinaibiwa daily kumbe mlinzi hopeless kabisa ww [emoji124] [emoji124]Mbona daily nalinda kwa style hii
Ndio imeshatoka hiyo. Ushindi kawapora nani?Siwez nikarelax wakat tumeporwa ushindi
leo nitakuwa macho kodo[emoji102] [emoji102] kama mlinzi vileeKwahyo leo hulali?
pole kwa kipigo cha Atletico mkuuMakapuku nimewasili baada ya mechi
mmeporwa ushindi kivipi?Siwez nikarelax wakat tumeporwa ushindi
eti nasikia baada ya gem mashabiki wa ATM walikua wanaimba ule wimbo wa mwana FA asanteni kwa kujaSiwez nikarelax wakat tumeporwa ushindi
Linda wewe tukuone,ndo mana likes zinaibiwa daily kumbe mlinzi hopeless kabisa ww [emoji124] [emoji124]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]eti nasikia baada ya gem mashabiki wa ATM walikua wanaimba ule wimbo wa mwana FA asanteni kwa kuja
Nasikia Iniesta ndo mrithi sahihi wa Iker Cassilas[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]