Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Youngblood nko poa sana, habari yako!Good morning, uko poa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Youngblood nko poa sana, habari yako!Good morning, uko poa?
Cjaziona cute b:Nani sijampa like?
Dah... hata mimi napata ugumu sana.. kwetu kapuku ni yule ng'ombe dume asiyeweza chochote zaidi ya kula tu hivyo ni hasara tupu kuendelea kumfuga[emoji12]Tafasiri au maana ya neno "Kapuku" ni ipi?
Tafuta msamiati au neno lingine kuwakilisha hili chama.
upo sahihiNILICHOGUNDUA NI KUWA ROBO TATU YA MAKAPUKU NI WASHABIKI WA MAN U NAWAPA POLE
Sawa, ck njema kwako na makapukus woteNi poa sanaaaa
Tano tu*!Hivi likes za makapuku ni 5 tu!
Mi umenipa kimoja tu...Nani sijampa like?
Jina la kitu chchote hutofautiana kulingana na mazingira, hivyo mkuu wa makapuku aliwahi kutoa ufafanuzi kuwa kapuku ni wana jf walio jiunga muda sio mrefu na wasioaarufu, from 2014 to 2016Dah... hata mimi napata ugumu sana.. kwetu kapuku ni yule ng'ombe dume asiyeweza chochote zaidi ya kula tu hivyo ni hasara tupu kuendelea kumfuga[emoji12]
Buahahhahah... Dah nimeipenda hiiSitting room [emoji85] [emoji85] [emoji85] kitandani kila mtu bebi
Fresh kabisa mkuuYoungblood nko poa sana, habari yako!
mBASHALONANILICHOGUNDUA NI KUWA ROBO TATU YA MAKAPUKU NI WASHABIKI WA MAN U NAWAPA POLE
Bitoz alisema atafuatilia hii ishu, sijui kaishia wap?Hivi likes za makapuku ni 5 tu!
Mods wamegomaBitoz alisema atafuatilia hii ishu, sijui kaishia wap?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ni kwel mkuu, sijui ile timu ina nyota ya kutofanikiwa?Kuwa shabiki wa arsenal inabidi kujitoa fahamu
Hutuna nia mbayaKama mna njama......basi tumewaona!!!!!
Nenda MEMBERS ONLY kule kwenye thread husika tuliishajibiwaBitoz alisema atafuatilia hii ishu, sijui kaishia wap?
Hii Makapuku forum ikifika replies 15k hao mods watalegea tu!!Mods wamegoma
Lazima walegee.Hii Makapuku forum ikifika replies 15k hao mods watalegea tu!!