Naona Kapuku wanaleta tishio kwa wakongwe,lakini mwisho wa yote mkubwa ni mkubwa tu hata awe mfupi.Katibu mipango wa Makapuku nipo hapa.. Hakuna kujipendekeza kwa mtu tunaamini tuna ubora kuliko wao... Hapa ni muda wa makapuku kusimama na kung'aa... No shobo no Ufagio
"Nyie division ZIRO"
"Bangi zinawasumbua"
"Unatafuta umaarufu"
"Utoto peleka kwa wenzio"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naona Kapuku wanaleta tishio kwa wakongwe,lakini mwisho wa yote mkubwa ni mkubwa tu hata awe mfupi.
Na hilo jina limeshapendekeza tayari na baraza la MAKAPUKU, itaonekana sio tuu wadhaifu sana kama tutabadilisha kwa mtazamo wa mtu mmoja.Ww umekomaa kupinga jina tu badala ya kutoa idea za kusogea mbele......MAKAPUKU ndo neno ambalo lishafahamika muda mrefu ...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bitoz Nimewasili!. Makapuku 4 Big & Valuable Ideas!Na leo ni SIKU MAALUMU KUUPA PROMO HUU UZI NI MARUFUKU KAPUKU KUANZISHA THREAD SIKU YA LEO HAPA CHIT GHAT.........
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naona movement imeshika kasi sanaaa hope mods wataskiaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] long live makapukuLnnye, stop emojing asee😱
This is a serious case say something, get something off ur chest😱😱😱
japokuwa mimi sio mkongwe ni wa juzi juzi ..dah ili jina hapana aisee ..mimi sio kapuku
Mkuu BITOZ na SIZZYA007 tunaombeni mtafute kajina kengine kazuri mfanye substitution kwa ilo jina kapuku
Tusipojikubali hawa wakongwe watatuona sisi ni small organism
Lakini ngoma ikivuma vuvuvuuuuuu ujue imekaribia kupasuka..hatuna nyota ya punda sisi hapa hapa bongo tutatoka tuu
Au utasikia hizi id zilizokuja baada au wakati wa uchaguzi nazo ni za kupuuza[emoji134]Mtu ukitoa mchango kumchallenge mkongwe utasikia vimaneno vya kejeri kama "mtu mwenyewe umejiunga feb 2016" au "senior member".....kama mtu kajiunga feb 2016 hana haki ya kuchangia?!😱 au senior member hana haki ya kuchangia😱
Najua una hasira nao kwa kadhia uliyokutana nayo, ishatokea!, wameleta akili mpya kwa roho zao za husda, tusiwajadili Sana watu kwani tutaanza kuwa wepesi mapemaa.Ni muda WA wakongwe kutia akili na kupunguza dharau....
Au utasikia hizi id zilizokuja baada au wakati wa uchaguzi nazo ni za kupuuza[emoji134]
Huu uzi ni lazima uwe kama pin post hivyo daily lazima uzungushwe.......Ni Leo tu coz tutashindwa kuparticipate thread zote
Mi thread zangu zote leo sizigusi kabisa
RiwayaNaona Kapuku wanaleta tishio kwa wakongwe,lakini mwisho wa yote mkubwa ni mkubwa tu hata awe mfupi.
Wataelewa tu mwaka huu, pamoja na heading kuwa na herufi ndogo ila uzito wake uko pale paleSasa tunakula nao sahani moja mpaka wataelewa tu
Kaite mkongwe NYUMBU mara 1 tu utakula ban LA life imprisonment😀😀😀😀 yaani mie nimeitwa sana nyumbu mara buku7, yani mradi vurugu tuuu. Afu too bad vurugu zinaletwa na the so called wakongwe😱
Inauma sanaa ila wataelewa tu😀😀😀😀 yaani mie nimeitwa sana nyumbu mara buku7, yani mradi vurugu tuuu. Afu too bad vurugu zinaletwa na the so called wakongwe😱