Makapuku Forum

Makapuku Forum

japokuwa mimi sio mkongwe ni wa juzi juzi ..dah ili jina hapana aisee ..mimi sio kapuku
Mkuu BITOZ na SIZZYA007 tunaombeni mtafute kajina kengine kazuri mfanye substitution kwa ilo jina kapuku
Tusipojikubali hawa wakongwe watatuona sisi ni small organism

Lakini ngoma ikivuma vuvuvuuuuuu ujue imekaribia kupasuka..hatuna nyota ya punda sisi hapa hapa bongo tutatoka tuu

Kama vipi pita tu sio lazima uweke kituo hapa
 
Mtu ukitoa mchango kumchallenge mkongwe utasikia vimaneno vya kejeri kama "mtu mwenyewe umejiunga feb 2016" au "senior member".....kama mtu kajiunga feb 2016 hana haki ya kuchangia?!😱 au senior member hana haki ya kuchangia😱
Au utasikia hizi id zilizokuja baada au wakati wa uchaguzi nazo ni za kupuuza[emoji134]
 
Back
Top Bottom