Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sina option ya kufollow???Offer offer offer,
Pata offer kabambe leo
Just give to receive
Pata like baada ya ku like
Pata followers baada ya ku follow
[emoji2] [emoji111]
Mkuu umenena vizuri sana,mimi sometimes naumia sana ninapotoa mchango wangu halafu mtu from nowhere anakwambia unaongea nini wewe wakati umejiunga juzi tu!!!.Inatia moyo pale tunapo thamini michango ya wenzetu bila kujali wamejiunga lini Jf ,wana likes ngapi sijui nini ,Jf ni kisiwa cha elimu,sehemu ya burudani tosha nk ,hivyo tuheshimiane bana
Poa sana tuHope uko poa lakini
Usiku mwemaUsiku mwemaa Vice na Makapuku wotee humu Jf
Umeongea point sana. Maana kuna watu wanaleta kujuana sana.Inatia moyo pale tunapo thamini michango ya wenzetu bila kujali wamejiunga lini Jf ,wana likes ngapi sijui nini ,Jf ni kisiwa cha elimu,sehemu ya burudani tosha nk ,hivyo tuheshimiane bana
Asante sana boss[emoji2] [emoji2] [emoji2]Na kwako pia
Naona tunalisongesha mdogo mdogoPoa sana tu
Tumia browser mkuu,kwenye JF App haiwezekani.Mbona sina option ya kufollow???
Mimi watu wa aina hiyo nilikua naenda nao jino kwa jino ,mambo ya kupigwa shavu hili ugeuze lile siwezi aisee ,nilishia kula ban tu ila mwisho wa siku naona mods wakalegezaMkuu umenena vizuri sana,mimi sometimes naumia sana ninapotoa mchango wangu halafu mtu from nowhere anakwambia unaongea nini wewe wakati umejiunga juzi tu!!!.
Nimekuongezea....... [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]umenipa mama
Sana, hapa ni full sapotiTeh teh nimefurahi tu kwa haraka haraka nimeona support ya Makapuku wenzangu wakipeana likes za kutosha
Hahahahaa kuna watu wamejibinafsishia jf....eti umejiunga juzi!!! Kwani kuwa jf siku nyingi ndio kuwa na busara na ufahamu!!!Mkuu umenena vizuri sana,mimi sometimes naumia sana ninapotoa mchango wangu halafu mtu from nowhere anakwambia unaongea nini wewe wakati umejiunga juzi tu!!!.
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] kapuku katika harakatiIf you follow me, I follow you back.
Kwa mwendo huu naona kuna wakongwe wanatamani kuwa makapuku dahSana, hapa ni full sapoti
Hawa watu ndiyo dawa yao ukizubaa watakuvua nguo,sio watu wazuri kabisa.Mimi watu wa aina hiyo nilikua naenda nao jino kwa jino ,mambo ya kupigwa shavu hili ugeuze lile siwezi aisee ,nilishia kula ban tu ila mwisho wa siku naona mods wakalegeza
Mgeni huyoNaona utakuwa umepotea njia wewe huku haupo kabisaaa
Wanakera kinoma aiseeHahahahaa kuna watu wamejibinafsishia jf....eti umejiunga juzi!!! Kwani kuwa jf siku nyingi ndio kuwa na busara na ufahamu!!!
Me huwa nawapotezea tu!!!
Pathetic!!!