Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 12,325
- 38,203
Owkey, nimeku-readTumia browser mkuu,kwenye JF App haiwezekani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Owkey, nimeku-readTumia browser mkuu,kwenye JF App haiwezekani.
Hivi nilishakupa likes Leo?? Kama bado sema suuBado natembeza like kimya kimya, nikipita naomba unipungie mkono tafadhari.
HahahaKwa mwendo huu naona kuna wakongwe wanatamani kuwa makapuku dah
Mimi kuna tatizo langu moja kuna updates uchaguzi wa Marekani Nguruvi3 amezileta ila cha ajabu wanao ruhusiwa kuchangia huo uzi ni wakongwe tu sijui wana maana gani ,Invisible Moderator Paw naomba mtuambie kwanini access ya uzi huo ipo restricted ?Hawa watu ndiyo dawa yao ukizubaa watakuvua nguo,sio watu wazuri kabisa.
Chezea makapuku wewe? Safari hii tunafanya maajabuAma kweli umoja ni nguvu sijawahi ona uzi humu jamii forum kuanzia page ya kwanza mpaka ya mwisho watu wanakula likes tu ,Nshazoea kuona likes zinatolewa kwa kujuana tu ,Wakongwe na nyodo zao ,wanasahau pia wanazeeka ,hivyo kizazi kipya lazima kiwapiku
Kosa wakitokeza tu....tunabonyeza bottonIla kuwaonyesha sisi hatuna tatizo na wao pia tutawapa likes bila ubaguzi
Hivi like zinasomeka zaidi ya 5???Ama kweli umoja ni nguvu sijawahi ona uzi humu jamii forum kuanzia page ya kwanza mpaka ya mwisho watu wanakula likes tu ,Nshazoea kuona likes zinatolewa kwa kujuana tu ,Wakongwe na nyodo zao ,wanasahau pia wanazeeka ,hivyo kizazi kipya lazima kiwapiku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu wajibadilishee tu maana hamna namna sasaKwa mwendo huu naona kuna wakongwe wanatamani kuwa makapuku dah
Mods nao wana tatizo sio bure. Kila member ana huru wa kuchangia mada yoyote ila nashangaa kwanini wanabana katika baadhi ya mada. Nakumbuka ulishawahi kusema hii kitu
Mods nao sometimes wanafanya mambo ya ajabu sana,alafu ukiwapa ukweli wanakupiga Ban.
Leo sikua humu ndani kabisa nafungua uzi nakuta upo page ya 76 ,dah hili vuguvugu la mabadiliko litawasomba wengi ,Chezea makapuku wewe? Safari hii tunafanya maajabu
Hahahahahaha raha sanaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu wajibadilishee tu maana hamna namna sasa
Ukapuku raha mkuu hata usingiz haujiiHahahahahaha raha sanaaaa
Nasikia kuna wakongwe zinasoma mpaka 30Hivi like zinasomeka zaidi ya 5???
Wanaachaje sasa kutamani kwa mfano?Kwa mwendo huu naona kuna wakongwe wanatamani kuwa makapuku dah
Wanafikiri kila kapuku bado ananyonya.....Mods nao wana tatizo sio bure. Kila member ana huru wa kuchangia mada yoyote ila nashangaa kwanini wanabana katika baadhi ya mada. Nakumbuka ulishawahi kusema hii kitu
Acha tu ndugu yanguMods nao sometimes wanafanya mambo ya ajabu sana,alafu ukiwapa ukweli wanakupiga Ban.