Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Kweli kabisa makapuku umaarufu tunaupiga marufuku.Taratibu za kujiunga ni kama nilivyoielewa, pia tembeza likes kwa wenzio mana makapuku kwetu uchoyo mwiko na wote ni sawa hatuna star wala nini, karibu sana kwenye chama
Keki sio hapa ziko kule kwenye Birthday tu, hapa ni stori tu mkuuMkuu keki zimeisha au!
Kitaeleweka tu,huwezi kuacha likes za burebure.Sasa makapuku mwenzangu mpaka muda huu mpo macho?! Kesho kitaeleweka kweli..
Umekuja kukwapua likes zetu, ila hakuna kabaya TEAM MAKAPUKU hatuna kinyongo na mtu hata kama ni adui.Hahahahahaaaaa....natamani ingekua movie ...samahanini jamani.. Napita tu japo mm ni kapuku mwenyeji
Nyie mliolala laleni baadae mtapokea kijiti na sisi tutalala piaSasa makapuku mwenzangu mpaka muda huu mpo macho?! Kesho kitaeleweka kweli..
HoyeeeeeeeeeeeeUMAJAFO hoyeeeeeeeeeeee
Usiwachokoze watakuja muda si mrefu.Limenitoka tu
Hahahameno thelathini na nje yote mbili,jamani raha
barua ya maombi ya kujiunga niitume kwa nani [emoji144]Nasubiri memba wengine wake humu
Mkuu wewe hujaqualify kuwa kuwa kapuku.Aisee kumbe ndiyo hivi
Za kunywea chai kesho?Naombeni likes😀