No kushobokea wakongwe ndo dawa ya kuwashusha coz makapuku ndio wachangiaji wakuu wa majukwaa mengi yenye mvutoNajua una hasira nao kwa kadhia uliyokutana nayo, ishatokea!, wameleta akili mpya kwa roho zao za husda, tusiwajadili Sana watu kwani tutaanza kuwa wepesi mapemaa. Kwa hiyo tu- focus Na yetu, Objectives za kuanzisha jukwaa zipewe kipaumbele!.
Kweli kabisa, Pm haendi mtu..... Ni hapa hapa mpaka kielewekeTuuzungushe kwa juhudi zetu wenyewe ndo wataweka stick....tusijisumbue kuwaPM ...wkt lalamiko letu kule hawalijibu
Kaite mkingwe NYUMBU mara 1 tu utakula ban LA life imprisonment
Basi endelea kujifunzaSielewi chochote
Asante JimenaKaribu sana kwenye chama
Hahahahahahahaha[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kaite mkingwe NYUMBU mara 1 tu utakula ban LA life imprisonment
Hata kule members only nitakuwa nakandamiza nukta tu kiuchokozi ili thread ikae juu dailyKweli kabisa, Pm haendi mtu..... Ni hapa hapa mpaka kieleweke
Hahahahahaha just nukta tu.... KudaaaadekiHata kule members only nitakuwa nakandamiza nukta tu kiuchokozi ili thread ikae juu daily
Yawezakuwa hata darasani ulikuwaga hivyohivyo, nakushauri anza upya kuisoma post na ukifikia 'page' ya 4 utakuwa umeelewa vizuri.Sielewi chochote
Hata kule members only nitakuwa nakandamiza nukta tu kiuchokozi ili thread ikae juu daily
Lile lalamiko letu ndo kuanzia sasa TUWEKE MGOMO WA KUANDIKA TUWE TUNATUPIA NUKTA TU.....Si wameonyesha ddharau tusipoteze muda kulalamika zaidi ....mgomo utaisha pindi tukijibiwaAu leo post nyingine zote tuwe tunakandamiza nukta tu?! This sounds like a good idea
Karibu mkuu...mPM Th NameMuweka hazina nipo
Naomba hapa member akikosea anayejua amueleweshe siyo kejeli, dharau, Na matusi, kwani yote tuyajuayo tulijifunza kwa namna yoyote Ile!.No kushobokra wakongwe ndo dawa ya kuwashusha coz makapuku ndio wachangiaji wakuu wa majukwaa mengi yenye mvuto
Lile lalamiko letu ndo kuanzia sasa TUWEKE MGOMO WA KUANDIKA TUWE TUNATUPIA NUKTA TU.....Si wameonyesha ddharau tusipoteze muda kulalamika zaidi ....mgomo utaisha pindi tukijibiwa
Itabamba sana
One love Makapuku hakuna star HAPA......Naomba hapa member akikosea anayejua amueleweshe siyo kejeli, dharau, Na matusi, kwani yote tuyajuayo tulijifunza kwa namna yoyote Ile!.