Makapuku Forum

Najua una hasira nao kwa kadhia uliyokutana nayo, ishatokea!, wameleta akili mpya kwa roho zao za husda, tusiwajadili Sana watu kwani tutaanza kuwa wepesi mapemaa. Kwa hiyo tu- focus Na yetu, Objectives za kuanzisha jukwaa zipewe kipaumbele!.
No kushobokea wakongwe ndo dawa ya kuwashusha coz makapuku ndio wachangiaji wakuu wa majukwaa mengi yenye mvuto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…