Umeona eeh!! Ila kwa vile ni hapa dawa ni kumpita [emoji40] [emoji40] [emoji40] tu kama hatumuoni vile,Ungekuwa kwenye group la whatsapp tungesha kuleftisha
Ulale usingizi mnonoivi kulala unono ndo kulala kwa style gani
Tunampotezea mazima.......Makapuku wenzangu mwongozo tafadhali,mkongwe akimnyemelea kapuku mwenzetu tunamfanyaje?
Hewalaaaa au tunamfunga na jiwe ziiiito na kumtosa kwenye kilindi cha maji.tunapiga kama mwizi au kibaka
Kweli mkuu,huyu tunamvungia tu.Umeona eeh!! Ila kwa vile ni hapa dawa ni kumpita [emoji40] [emoji40] [emoji40] tu kama hatumuoni vile,
Mkuu kuwa mvumilivu, usitoke kinyume na taratibu za JF usije ukachezea ban bureMkuu anzisheni grup la makapuku tupange mbinu za kuwaondoa "relini" wanaojiita mastaa
no no no...Umeona eeh!! Ila kwa vile ni hapa dawa ni kumpita [emoji40] [emoji40] [emoji40] tu kama hatumuoni vile,
Tunampotezea tu mkuu, kimya kimya mpaka anatafuta njia anaondokaHuyu sijui hapta tumfanyeje!
Nahisi ametumwa.
We unaonekana ni jipu tu.Baraza la mawaziri litakua kubwa sana maana sintakubali kua nje ya baraza,japo wizara ya nchi ofisi ya waziri ya fedha
Baraza litangazwe mapema,waziri wa ulinzi na vitisho aingie kazini.Naona usalama wa makapuku uko hatarini,mamluki wameanz kuingia.
dawa ni kipondo tu mana mwingine anaweza kua ni water proofHewalaaaa au tunamfunga na jiwe ziiiito na kumtosa kwenye kilindi cha maji.
Kijipu mbuzi mkuu,nakamua mwenyeweWe unaonekana ni jipu tu.
Duhdawa ni kipondo tu mana mwingine anaweza kua ni water proof
Jimena tafadhali! Sina nia mbaya...Tunampotezea tu mkuu, kimya kimya mpaka anatafuta njia anaondoka
Matata sanaaa......[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hii korabo matata.......