libero
Senior Member
- Aug 18, 2015
- 124
- 542
Ewe kapuku mwenzetu ni vipi? Tunajenga nyumba moja kwanini tugombanie fitoo?Baraza la mawaziri litakua kubwa sana maana sintakubali kua nje ya baraza,japo wizara ya nchi ofisi ya waziri ya fedha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewe kapuku mwenzetu ni vipi? Tunajenga nyumba moja kwanini tugombanie fitoo?Baraza la mawaziri litakua kubwa sana maana sintakubali kua nje ya baraza,japo wizara ya nchi ofisi ya waziri ya fedha
Hahahahahahahaha wacha kunichekesha lolMakapuku kwa makapuku ndo sio dhambi,ila mkongwe kumnyemelea kapuku ni zaidi ya jinai.
Hahaha,hadi unatia hurumaJimena tafadhali! Sina nia mbaya...
Sisi ni binadamu ujue.
Hii mambo yakupotezana sio kabisa, hata kuloga sijui!!
Hakuna kumquote wala kumpa likes..... Ni kumpita tuKweli mkuu,huyu tunamvungia tu.
Umeona wanavyoitana!! Sasa dawa ni kumuignore tuMhhh!
Sana yani....... Mpaka rahaaaaSie makapuku huku hakuna kugombana, kila mtu mstaarabu
Kwahiyo we mwenzetu unataka madaraka tu???Baraza la mawaziri litakua kubwa sana maana sintakubali kua nje ya baraza,japo wizara ya nchi ofisi ya waziri ya fedha
Mkuu makapuku wote tuna sifa za kuongoza,naamini hivyo sababu nimegundua tu wamojaKwahiyo we mwenzetu unataka madaraka tu???
Rudi nyuma basi upite unalike post moja moja za makapuku mpaka ufike post namba moja ili twende sawa
Hii nayo ni point.... Haina haja ya wenyewe kwa wenyewe kuanza hizi mamboEwe kapuku mwenzetu ni vipi? Tunajenga nyumba moja kwanini tugombanie fitoo?
We naeeee pita kushoto tu mbona post za makupuku ni nyingi??? Rudi nyuma uwaquote achana na huyoHahaha,hadi unatia huruma
Mi nitakupa tu!Hakuna kumquote wala kumpa likes..... Ni kumpita tu
Kweli kabisaHii nayo ni point.... Haina haja ya wenyewe kwa wenyewe kuanza hizi mambo
Nimekusoma mkuuWe naeeee pita kushoto tu mbona post za makupuku ni nyingi??? Rudi nyuma uwaquote achana na huyo
ahhh!! umeamua kabisa kunichochelea?We naeeee pita kushoto tu mbona post za makupuku ni nyingi??? Rudi nyuma uwaquote achana na huyo
Ndio wote ni sawa, ila sasa isifike mahali ukaona cheo ndo kila kitu, hiyo itapelekea kujiona mnyonge pale unapokosa nafasi hiyo, ndio mana sisi tunalilia usawa,Mkuu makapuku wote tuna sifa za kuongoza,naamini hivyo sababu nimegundua tu wamoja
oh! usijenge chuki youngblood huyu anayehamasisha uniruke hujui kesho mi na yeye tutakuwaje! usichochee separation.Nimekusoma mkuu
sijaelewa...Mpaka dakika hii kuna 1k reply na 7k views kesho tukikuta hazipo tutajua hali ni tete[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hii ni alama