Nipo hapa mkuu. Pole itakuwa ulikuwa unamzingua na wakati watu wapo kwenye M4C."na wewe uko hapa!? jana nimeonewa aisee...
Jimena kanionea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo hapa mkuu. Pole itakuwa ulikuwa unamzingua na wakati watu wapo kwenye M4C."na wewe uko hapa!? jana nimeonewa aisee...
Jimena kanionea.
Huyu ndugu yangu kiwatengu bangi nyingi unazani haelewi.Mueleweshe sasa hivi.
Wew I'd ya kiwatengu unataka ukamtongozee nani? Utakataliwa nakuapiaaa.kiwatengu tubadilishane ID hadi jioni basi...
Huyu ndugu yangu kiwatengu bangi nyingi unazani haelewi.
Ikifika jioni atakuwa ameelewa automatic.
Well said Katibu Mkuu KiongoziNasisitiza kitu kimoja ambacho najua kimesha zungumziwa!!! Lengo kuu sio kupata likes, mizigo ya likes ambayo tumepata leo ni matokeo tu ya hali iliyokuwepo, lengo kuu ni usawa kwa JF nzima! MAKAPUKU TUNATAKA USAWA!
Usinitreat low eti kwasababu nimejiunga jana, hakuna uhusiano wa siku ya mtu kujiunga na kutoa mchango wake humu JF.
Arrogance
Selflifting
Ujuaji uliopitiliza
Kujitwika umiriki wa majukwaa
Hayo na mengine mengi ndio tunayotaka yabadirike, na movement hii haitakoma mpaka pale tutakapoona deliberate efforts za Mamods wetu wapeeendwa katika kuyafanyia kazi hayo, tunajua yako ndani ya uwezo wenu na ndio maana tunayabwaga mbele yenu.
Moderator mna nafasi kubwa ya kuibadiri JF na kuwa sehemu nzuri kwa kila mwanamtandao, muifanye JF kiwe ni kisiwa cha elimu na mijadara yenye balance katika yote.
Mnaweza mkaset standards mpya, hamjachelewa, muda ni huu, muda ni sasa.
Makapuku ni jeshi kubwa, hii inamaanisha movement hii si ya kupuuzia bali suruhu yenye tija ni kuyafanyia kazi tunayoyapigia kelele.
Mwishoni lakini si mwisho, kwa niaba ya founder members, napenda kutoa shukrani kwa woooote waliochukua dakika mbili au hata moja, au zaidi kufanikisha vuguvugu hili. Mdogo si dogo😱
Kumbuka wkt tupo 900 views uzi ulipigwa kufuli zen tukaanza upya na 001 vieesMpaka dakika hii kuna 1k replies na 7k views kesho tukikuta hazipo tutajua hali ni tete[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hii ni alama
KaribuNimewekwa benchi[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Haa haaa Mzee swalama?Nimewekwa benchi[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Tuko poa mkuu,tunalisongeshaHope mmeamka salama wote humu. Sema hii mvua itatufanya wengine tusitoke vitandani bure.
Tuendeleze umoja wetu bila kuchoka
Wewe hata benchi haupo!Nimewekwa benchi[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Nimeona kuna baadhi ya makapuku wameanza kupata likes zaidi ya 5,nimefurahi sanaMakapuku wote
Malalamiko yetu kule MEMBERS ONLY kuhusu 5 LIKES yamejibiwa baada ya sisi kuungana na kukomaa na kufanya kamgomo baada ya kuona hatujibiwi siku mbili
Tusubiri utekelezaji sasa
Huu ni ushindi
Umoja ni nguvu