kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
Hu reply pm zangu...Nimekubagua kivipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hu reply pm zangu...Nimekubagua kivipi?
Ungekuwa kwenye group la whatsapp tungesha kuleftishaHu reply pm zangu...
Makapuku wenzangu mwongozo tafadhali,mkongwe akimnyemelea kapuku mwenzetu tunamfanyaje?We mbona unanibagua sasa? [emoji39]
Mkuu anzisheni grup la makapuku tupange mbinu za kuwaondoa "relini" wanaojiita mastaaUngekuwa kwenye group la whatsapp tungesha kuleftisha
Huyu sijui hapta tumfanyeje!Makapuku wenzangu mwongozo tafadhali,mkongwe akimnyemelea kapuku mwenzetu tunamfanyaje?
Usingizi mnonoivi kulala unono ndo kulala kwa style gani
[emoji1] [emoji1] braza braza!!!Ungekuwa kwenye group la whatsapp tungesha kuleftisha
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Karibu sana,
Kwa sasa nenda mwanzo kabisa wa uzi huu uanze kulike post moja baada nyingine wakati unamsubiri mkuu Th Name ili akuweke kwenye list, ni hayo tu
Ahh!! kunyemeleana siyo dhambi bana...Makapuku wenzangu mwongozo tafadhali,mkongwe akimnyemelea kapuku mwenzetu tunamfanyaje?
tunapiga kama mwizi au kibakaMakapuku wenzangu mwongozo tafadhali,mkongwe akimnyemelea kapuku mwenzetu tunamfanyaje?
Mbinu zote tutapanga kesho,ngoja kwanza watu walaleMkuu anzisheni grup la makapuku tupange mbinu za kuwaondoa "relini" wanaojiita mastaa
Huyu tutamchoma moto.tunapiga kama mwizi au kibaka
Inabidi baraza la mawaziri la makapuku litangazwe mapema,yapaswa kuwe na waziri wa ulinzi na vitisho.Huyu sijui hapta tumfanyeje!
Nahisi ametumwa.
Kwa usalama wa makapukuInabidi baraza la mawaziri la makapuku litangazwe mapema,yapaswa kuwe na waziri wa ulinzi na vitisho.
Tutamteua Jimena alikuwa anatafuta kazi.Inabidi baraza la mawaziri la makapuku litangazwe mapema,yapaswa kuwe na waziri wa ulinzi na vitisho.
Mi pia,Usingizi sina hata kidogo
Ni mimi nazungumziwa hapa? Duh [emoji125] [emoji125] [emoji125] kuna kuchomana tena!!!Huyu tutamchoma moto.
Makapuku kwa makapuku ndo sio dhambi,ila mkongwe kumnyemelea kapuku ni zaidi ya jinai.Ahh!! kunyemeleana siyo dhambi bana...
Naona usalama wa makapuku uko hatarini,mamluki wameanz kuingia.Kwa usalama wa makapuku