Sema jamaa ni mgogwe safi hana mambo ya ajabu kama wengineWewe hata benchi haupo!
Mwenyewe sasa hivi nazioga like...hapa penyewe makapuku wenzangu watanipa za kutosha...Nimeona kuna baadhi ya makapuku wameanza kupata likes zaidi ya 5,nimefurahi sana
Nimeambiwa na mimi ni mmoja waotatty, nawe ni kapuku?
Nimemtania tu, huyu mshana jr namkubali sana na mambo yake ya kuzimu.Sema jamaa ni mgogwe safi hana mambo ya ajabu kama wengine
OyaaaWewe hata benchi haupo!
Maana ya kapukuMkuu ulikuwa huelewi nini
Kwenye msafara wa mamba.......Nimeambiwa na mimi ni mmoja wao
Hukuelewa lalamiko letu.....sio likes kuonekana kwenye profile Bali ni kwenye post/commentNimeona kuna baadhi ya makapuku wameanza kupata likes zaidi ya 5,nimefurahi sana
Mkuu huyu jamaa mimi mwenyewe namkubali sana,nilimjibu utani kwasababu mwenyewe alikuwa kama anataniaOyaaa
Kutokuwepo kwenye list hakuzuii mtu kuwepo hapa...muheshimu huyo ni miongoni mwa watu poa sana hapa Jf tafuta thread zake utagundua huwa hana dharau kwa KAPUKU yoyote
Think twice
mPM Th NameNimeambiwa na mimi ni mmoja wao
Umeshaelewa lakini au bado!Maana ya kapuku
Kabisa mshana jr yuko tofaut na wakongwe wenzake mzee wa uloziSema jamaa ni mgogwe safi hana mambo ya ajabu kama wengine
Bado kidogo... nimeelewa kwamba ni members wanyonge.. undergroundUmeshaelewa lakini au bado!
Umekaribia kuelewa sasaBado kidogo... nimeelewa kwamba ni members wanyonge.. underground
Za asubuhi makapuku wenzangu wazima makapuku tukajenge taifa makapuku
Mbona hatuonani?Haa haaa Mzee swalama?
Mi natangulialeo tunakwenda ibadani kapuku kumshukuru Mungu