sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Endelea tuu mkuu....Si unajua mambo ya behind keybodSijui niendelee tu au sijui niache?
Haya mambo yalikukosesha Nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea tuu mkuu....Si unajua mambo ya behind keybodSijui niendelee tu au sijui niache?
Usiache kupost yale mambo yetu,unajua wengi tumekujua kwasababi ya hiyo kazi yako sasa ukiacha utatuangusha wafuasi wako.Zinanikosesha mengi zile post nimeona nizipotezee
View attachment 336179[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Inabidi tumpe usajili wa kudumu.Ha haa kumbe anayetulinda ni mganga mshana......
We're safeee
Humu hakuna chuki...matusi....dharau....tunamjibu mtu kulingana na post zakeIla wakongwe wengine ni wazuri siyo wote ni wabaya
Mkuu mbona kuna wakongwe wengine wanaheshima na nidhamu...
Swalama?
Ha haa.....Inabidi tumpe usajili wa kudumu.
Wachuchu hasa wenye 'vitu adimu'Endelea tuu mkuu....Si unajua mambo ya behind keybod
Haya mambo yalikukosesha Nini?
Ha haa kumbe anayetulinda ni mganga mshana......
We're safeee
Umenena vizuri sana BitozHumu hakuna chuki...matusi....dharau....tunamjibu mtu kulingana na post zake
Hatuzuii wakongwe kutoa maoni yao bali wakileta magumashi tutaignore......sio wakongwe wote ni wabaya
Hahaha,ungetakiwa utumie ujuzi wako kuwavuta.Wachuchu hasa wenye 'vitu adimu'View attachment 336180
Ahaaaa haaa nlijua tuu.....Wachuchu hasa wenye 'vitu adimu'View attachment 336180
Sijui niendelee tu au sijui niache?
[emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]Ahaaaa haaa nlijua tuu.....
Ila ndio furesh... Ubaki na bibi...
suu (kwa herufi ndogo).Hivi nilishakupa likes Leo?? Kama bado sema suu
HaswaaaaaKwahio na mm nikapuku
Humu hakuna chuki...matusi....dharau....tunamjibu mtu kulingana na post zake
Hatuzuii wakongwe kutoa maoni yao bali wakileta magumashi tutaignore......sio wakongwe wote ni wabaya