Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishatoa tafsfiri ya KAPUKU kwenye post # 3
Nimeedit kuepusha maswali yasiyo ya lazima
Alafu mie niliombaga ile post ya u mod [emoji2] [emoji2]Ndio ni haohao.....huonagi KAPUKU wanaongoza kwa kula ban
(Kauka lakini)
[emoji450] [emoji445] [emoji441] salamu zangu kwako oooh eeehAlafu Ngedere Ungabu ndo anaongoza kwa dharau huyo jamaa, na in his little bright head anajua kuwa yy ni smart basi ndo midharau tu lafa sana yule yabo😡😡😡😡😡
Nitakuja Nina kaubize fulaniBitoz ingia serikali kuu, kuna jambo linataka mwongozo wako
Okey....Msomeni hapa post #2
Underground vs Wakongwe wa JF
Mtambulishe na kwangu board memberKaribu kapuku, mimo ni Katibu kiongozi, Raisi wako ni Bitoz, vice ni jimena na prime minister ni th name, waziri wa urinzi ni ibra87. Wengine utawajua taratibu.....
Feel at home kapuku, and feel proud.
Wee, sema akyamunguNimekosea njia . ILA mnaudhi Sana asa mnapoleta uandishi wa kifacebook humu. Mfano S=X.
Jamaa salama?[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Hawajui kama points zipo tu.
Salama kabisa mkuu asante kwa kazi nzuriJamaa salama?
Ha Haaaa haaa....wapende tuu Hamna namna. Tunakupenda piaNawapendeni makapuku woootee!
Raisi amekoroma hahahaaa......Oyaaa
Kutokuwepo kwenye list hakuzuii mtu kuwepo hapa...muheshimu huyo ni miongoni mwa watu poa sana hapa Jf tafuta thread zake utagundua huwa hana dharau kwa KAPUKU yoyote
Think twice
Nashukuru[emoji18]Ha Haaaa haaa....wapende tuu Hamna namna. Tunakupenda pia
![]()
Movement For Change
Lazima aelekeze watu njia sahihi wanapopindaRaisi amekoroma hahahaaa......
Hayo humu hamna na wala hatuyatakiNimekosea njia . ILA mnaudhi Sana asa mnapoleta uandishi wa kifacebook humu. Mfano S=X.