sizzya007
JF-Expert Member
- Mar 15, 2016
- 771
- 2,416
Alafu mi ningependa vilevile kuwe na sehemu ya dislike pia hafikiri woote tunge kuwa na akili timamu
Kuna watu ningewatembezea dislike kama sina hakili nzuri😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu mi ningependa vilevile kuwe na sehemu ya dislike pia hafikiri woote tunge kuwa na akili timamu
Wee, sema akyamungu
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kuna watu ningewatembezea dislike kama sina hakili nzuri😀
Aluta Continua!Na bado mapambano yanaendelea
Yaani we acha tuu, ila ingetutia akili na dharau zingeisha Wallah. Maana ukimu attack mtu kizembe watu wanakupiga dislike za kutoshaKuna watu ningewatembezea dislike kama sina hakili nzuri😀
Itakuwa hatari sanaAlafu mi ningependa vilevile kuwe na sehemu ya dislike pia hafikiri woote tunge kuwa na akili timamu
Kwani wewe hujielewi uko kundi gani?Kwahio na mm nikapuku
Aha haaa....Kuna watu ningewatembezea dislike kama sina hakili nzuri😀
Naamini kwa kadri ya uwezo watayamaliza matatizo moja baada ya jingine.Nimefurahishwa sana kuona wahusika wanashughulikia hoja zetu.
Tupoo MbuluMakapuku mpooooooo...