Makapuku Forum

huu moto hakuna wa kuuzima ni mwendelezo hadi pale hiliz zoez litakapokuwa limekamailka ama vpi platun
kamanda
wa kikos Sniper shooter mashambuliz yaemdlee msirudi nyuma makamanda vita ndio sasa hv inapamba moto hvo [emoji117] [emoji117] [emoji61] [emoji61] kamanda kapuku amka usilale
sniper shooter
platun kamanda wa kikosi
[emoji61] PLATUN KAMANDA WA KAPUKU[emoji61] [emoji113]
SNIPER SHOOTER
 
Kuna jambo moja nataka niliweke sawa hapa!!

Binafsi nina nidhamu ya hali ya juu katika uandishi wangu, BINAFSI, nasisitiza tena BINAFSI.
Wengine wanaweza wakawa hawako sawa na mimi katika hili, hilo ni la kawaida. Hatuwezi kufanana katika kila jambo.

Hivi inamkera nini mtu pale memba flani anapoamua kuandika XAXA badala ya SASA?! Tuwe wakweli katika hili, nadhani tunaweza kutofautiana misimamo ila tunaweza kupata common platform katika hili. Kama mtu kaandika XAXA, na wewe ukajua kuwa alitaka kuandika SASA kwanini usiichukulie maana inayofit na uendelee tu?!

Kama nilivyotangulia kusema, hatuwezi kufanana kitabia, kariba na mwenendo hivyo basi lazima tuishi kwa kuchukuliana na kuchukulia baadhi ya mambo kwa upole. Najua kuna watu watapinga hili ila ndio hivyo.

Kama xaxa inaelewa inamaanisha sasa why bother?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…