damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,464
Huko tena sielewi, mi najua kusalimia tuu, baasiSidai bana
aaah kuna mtoto wa kaka yangu kamtoroka mkewe wa ndoa pale posta kituo cha daladala, akaenda kwa hawara mpaka sasa hajarudi na simu kazima tokea hiyo jana. Hivyo nipo na mkwe wangu tunatizamana tu. naomba Mungu shetani asisogeeSijambo, pole na matatizo
Haya kidume, umeshinda, igweeeee!Ahaaaa Haaaa nimeanza kuamini...
Kumbe wadada mpo...
nishakupa LIKE,Nashangaa kuona support imepungua, sijui na yenyewe iwe ya kujuana chini chini!!?
Nikajua nimefika... Hahahaaa pole mkuu.... Hapo nilimanisha -- vizuri banaHuko tena sielewi, mi najua kusalimia tuu, baasi
Hakuna shetani, acha jamaa afaidi kisha mzigo utarudishwa, cha msingi ni kushauri mhusika afunike kombe ili yaishe[emoji85] [emoji85]aaah kuna mtoto wa kaka yangu kamtoroka mkewe wa ndoa pale posta kituo cha daladala, akaenda kwa hawara mpaka sasa hajarudi na simu kazima tokea hiyo jana. Hivyo nipo na mkwe wangu tunatizamana tu. naomba Mungu shetani asisogee
Shetani tena? Kaingiaje tena hapoaaah kuna mtoto wa kaka yangu kamtoroka mkewe wa ndoa pale posta kituo cha daladala, akaenda kwa hawara mpaka sasa hajarudi na simu kazima tokea hiyo jana. Hivyo nipo na mkwe wangu tunatizamana tu. naomba Mungu shetani asisogee
usiwaze ..hilo unaloliona hapo kwa avatar lilinga'twa na hawa kipindi kile mi nikiwa adamuUkirudi huko mkuu njoo na apple nzima.. Nilitamani hilo hapo lkn limedokolewa
Mbona iko vile vile tu? Sema Leo jumapili wale wenzetu wanaoamini wanatengeneza na Mungu waoNashangaa kuona support imepungua, sijui na yenyewe iwe ya kujuana chini chini!!?
Mie bibi wa mama yangu alikuwa mmasai, haina shida ndugu yangu. Pamoja[emoji111]Nikajua nimefika... Hahahaaa pole mkuu.... Hapo nilimanisha -- vizuri bana
namtafuta hapa nina hasira nae akirudi tu nampiga faini shwain jazz bandHakuna shetani, acha jamaa afaidi kisha mzigo utarudishwa, cha msingi ni kushauri mhusika afunike kombe ili yaishe[emoji85] [emoji85]
ww hujui shetani anaweza kuleta mushkeliShetani tena? Kaingiaje tena hapo
Mm masai damu na nyama... Saivi nipo huku porini nachunga...asante halotel network ipo ya kutoshaMie bibi wa mama yangu alikuwa mmasai, haina shida ndugu yangu. Pamoja[emoji111]
Acheni kumsingiziaga jamani, alafu ujue huwa anawamind sana sema tu naimani ipo siku atatoa dukuduku lake[emoji2]ww hujui shetani anaweza kuleta mushkeli
Pole sanaaanamtafuta hapa nina hasira nae akirudi tu nampiga faini shwain jazz band
Shetani hayupoww hujui shetani anaweza kuleta mushkeli
Aisee, siku ukija bebelea maminofu alafu nitumie kwa dispatch niipate, sisi ni wamoja, [emoji111]Mm masai damu na nyama... Saivi nipo huku porini nachunga...asante halotel network ipo ya kutosha
Duuh jamaa una likes chache sana, hebu post post nilike like kidogoSalaaaam!
Nawasalimu!!!
Salaam.Salaaaam!
Nawasalimu!!!